Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wendell: "I'd walk from here to Spain to play for Real Madrid. It would be an honour to be Marcelo's apprentice."

 
Madrid Scouts have told Perez to sign a Leicester's Kante, move shot down as he’s not high profile enough [El Pais]

A one season's good performance, in a small club, playing in the shitty league, is enough for a player to come to Madrid? I think this is just another media BS, cuz if it's true then we have the worst scouts ever.
 
COPE: Ramos could have another match added to suspension (would mean missing El Clasico) for not going to the dressing room when sent off.
 
Tuzo 3 za.uchezaji bora ndizo zinazofanya Ronaldo awe anacheza dakika 90 bila hivo wala asibgestahiki kuwepo uwanjan jana maana pumba tupu
 
COPE: Ramos could have another match added to suspension (would mean missing El Clasico) for not going to the dressing room when sent off.
Jana kila kitu kilikua ovyo, bado sijaelewa kuna tatizo gani tunapocheza away, ila jana ninaona tulicheza mchezo mbovu zaidi. Hawa watu watatua kwa presha yaani. Isco na yeye jana niliona anatupa koti alilopewa baada ya kutolewa. Bado Navas anasimama kama nguzo ya team.
 
Zidane is very disappointed with the squad's attitude. The lack of intensity of some players will make Zidane take drastic measures.

Many of the team's starters could be benched due to the lack of compromise they have with the club.[MARCA]

CdlTTPqXEAA1UKj.jpg
 
Unless they change for the better, James and Isco have their time at Real Madrid coming to an end. [Inda - Jugones]
 
Real Madrid could offer Chelsea a sensational swap deal to sign Eden Hazard in exchange for James Rodriguez.

Real Madrid would never match Hazard’s £100m valuation and believe a swap with James who cost £70m would be a good move. [The Sun]
 

AS:
Arsenal plotting an ambitious summer move for €50m Kroos (MCFC & MUFC also interested) whom Real will replace with Leicester’s Kante.
 
Keylor Navas is the only Real Madrid player included in this week's La Liga Team of the Week. [@WhoScored]

CdlTexGWAAAUNZZ.jpg:large
UMENENA CARLO ANCELOTTI,,,, ""Ni Rahisi Na Starehe Kubwa Kumtazama #Messi Akicheza Dhidi Ya Timu Ya Adui,,,ila Ni Hofu,namaumivu Makubwa Kumkabili Anapocheza Dhidi Ya Timu Yako, mimi Ni Mmoja Wa Makocha Nlioweza Kwa Kiasi Kikubwa Kumkabili #Mwanaume Huyu Mara Kadhaa Nikiwa Na RMA,ila Kwa Ujumla Wake Haikuwa Kazi Rahisi,baada Ya Mechi Husika Unapomwona Beki Wako Anachelewa Kufika Ktk Mazoezi Yake Hupaswi Hata Kumlalamikia,kwa Kuwa Aliwajibika Zaidi Ya Mara Mbili Ktk Mechi Dhidi Ya Akina #messi,,..Huwa Ni Vigumu Kumkabili Messi Akiwa Fiti Kwa 100%...ni vigumu kumzuia,,.kipaji chake ni hatari xana kwa sababu hujui ni kitu gani atakifanya,hivyo kiukweli hakuna njia #rasmi ya kumtuliza star huyo.,,HAYO NI MAMENO YA CARLO ANCELOTI,,,KOCHA MTARAJIWA WA "THE BAVARIANS,,,
 
UMENENA CARLO ANCELOTTI,,,, ""Ni Rahisi Na Starehe Kubwa Kumtazama #Messi Akicheza Dhidi Ya Timu Ya Adui,,,ila Ni Hofu,namaumivu Makubwa Kumkabili Anapocheza Dhidi Ya Timu Yako, mimi Ni Mmoja Wa Makocha Nlioweza Kwa Kiasi Kikubwa Kumkabili #Mwanaume Huyu Mara Kadhaa Nikiwa Na RMA,ila Kwa Ujumla Wake Haikuwa Kazi Rahisi,baada Ya Mechi Husika Unapomwona Beki Wako Anachelewa Kufika Ktk Mazoezi Yake Hupaswi Hata Kumlalamikia,kwa Kuwa Aliwajibika Zaidi Ya Mara Mbili Ktk Mechi Dhidi Ya Akina #messi,,..Huwa Ni Vigumu Kumkabili Messi Akiwa Fiti Kwa 100%...ni vigumu kumzuia,,.kipaji chake ni hatari xana kwa sababu hujui ni kitu gani atakifanya,hivyo kiukweli hakuna njia #rasmi ya kumtuliza star huyo.,,HAYO NI MAMENO YA CARLO ANCELOTI,,,KOCHA MTARAJIWA WA "THE BAVARIANS,,,
Kocha bora kabisa huyu ila vilaza wakamtimua.
 
Back
Top Bottom