Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #15,301
Wendell: "I'd walk from here to Spain to play for Real Madrid. It would be an honour to be Marcelo's apprentice."
Madrid Scouts have told Perez to sign a Leicester's Kante, move shot down as he’s not high profile enough [El Pais]
Jana kila kitu kilikua ovyo, bado sijaelewa kuna tatizo gani tunapocheza away, ila jana ninaona tulicheza mchezo mbovu zaidi. Hawa watu watatua kwa presha yaani. Isco na yeye jana niliona anatupa koti alilopewa baada ya kutolewa. Bado Navas anasimama kama nguzo ya team.COPE: Ramos could have another match added to suspension (would mean missing El Clasico) for not going to the dressing room when sent off.
UMENENA CARLO ANCELOTTI,,,, ""Ni Rahisi Na Starehe Kubwa Kumtazama #Messi Akicheza Dhidi Ya Timu Ya Adui,,,ila Ni Hofu,namaumivu Makubwa Kumkabili Anapocheza Dhidi Ya Timu Yako, mimi Ni Mmoja Wa Makocha Nlioweza Kwa Kiasi Kikubwa Kumkabili #Mwanaume Huyu Mara Kadhaa Nikiwa Na RMA,ila Kwa Ujumla Wake Haikuwa Kazi Rahisi,baada Ya Mechi Husika Unapomwona Beki Wako Anachelewa Kufika Ktk Mazoezi Yake Hupaswi Hata Kumlalamikia,kwa Kuwa Aliwajibika Zaidi Ya Mara Mbili Ktk Mechi Dhidi Ya Akina #messi,,..Huwa Ni Vigumu Kumkabili Messi Akiwa Fiti Kwa 100%...ni vigumu kumzuia,,.kipaji chake ni hatari xana kwa sababu hujui ni kitu gani atakifanya,hivyo kiukweli hakuna njia #rasmi ya kumtuliza star huyo.,,HAYO NI MAMENO YA CARLO ANCELOTI,,,KOCHA MTARAJIWA WA "THE BAVARIANS,,,Keylor Navas is the only Real Madrid player included in this week's La Liga Team of the Week. [@WhoScored]
![]()
Kocha bora kabisa huyu ila vilaza wakamtimua.UMENENA CARLO ANCELOTTI,,,, ""Ni Rahisi Na Starehe Kubwa Kumtazama #Messi Akicheza Dhidi Ya Timu Ya Adui,,,ila Ni Hofu,namaumivu Makubwa Kumkabili Anapocheza Dhidi Ya Timu Yako, mimi Ni Mmoja Wa Makocha Nlioweza Kwa Kiasi Kikubwa Kumkabili #Mwanaume Huyu Mara Kadhaa Nikiwa Na RMA,ila Kwa Ujumla Wake Haikuwa Kazi Rahisi,baada Ya Mechi Husika Unapomwona Beki Wako Anachelewa Kufika Ktk Mazoezi Yake Hupaswi Hata Kumlalamikia,kwa Kuwa Aliwajibika Zaidi Ya Mara Mbili Ktk Mechi Dhidi Ya Akina #messi,,..Huwa Ni Vigumu Kumkabili Messi Akiwa Fiti Kwa 100%...ni vigumu kumzuia,,.kipaji chake ni hatari xana kwa sababu hujui ni kitu gani atakifanya,hivyo kiukweli hakuna njia #rasmi ya kumtuliza star huyo.,,HAYO NI MAMENO YA CARLO ANCELOTI,,,KOCHA MTARAJIWA WA "THE BAVARIANS,,,
AS: Arsenal plotting an ambitious summer move for €50m Kroos (MCFC & MUFC also interested) whom Real will replace with Leicester’s Kante.