Uwepo wa Marcelo na James kwenye line-up, ninapata Amani sana., James anahitajika sana kwenye game ya leo.., ingewezekana Mateo angeanza badala ya Isco, ningefurahi zaidi..,
Uwepo wa Marcelo na James kwenye line-up, ninapata Amani sana., James anahitajika sana kwenye game ya leo.., ingewezekana Mateo angeanza badala ya Isco, ningefurahi zaidi..,
Jamaa wamepaki vizuri hata kwenye box hatuingii, halafu wanapiga kiatu tu nakufanya mashambulizi ya kushtukiza. Na huyu Benzema leo hayupo kwenye game kabisa, akiendelea hivi second half aende bench tu