Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #14,281
Timu yote kwa ujumla imepooza...inashangaa
Isco aende bench sasa, enough.
Timu yote kwa ujumla imepooza...inashangaa
Modric kafanya yale mambo ambayo muda sasa hajayafanya
Tumeshinda lakin binafsi bado ninahitaji marekebisho yakiakili katika mechi za ugenini,..
kapiga kama ile na man u mwaka ulee UEFA.......First half alipiga kama ile.