Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #11,801
Eight players in the Real Madrid's squad already know what it is like to score against Catalans
Salamander and Paulo Sergio De Souz pokeen like kwa post zenu maana hawa jamaa wamegoma kurudishe kitufe.....
Tall mimi pia sina hicho kitufe. Vilevile siwezi ku-update kila kitu maana copy and paste haikubali, siwezi ku-upload baadhi ya picha au video za Youtube ndio kabisa. Post hapa zinaingia kwa bahati tu lakini nyingi zinakataa na ukishapost uwezi kufanya editing tena. Hii JF ishakuwa ya kichina.
Salamander and Paulo Sergio De Souz pokeen like kwa post zenu maana hawa jamaa wamegoma kurudishe kitufe.....
Great news from AS:
-Keylor Navas is back. Will play El Classico.
-Marcelo and Carvajal will both start.
-Benzema could also feture in the game #Hala Madrid
That's some great news. Only way it could get better, ni Cristiano au Bale, mmojawapo aumie leo.
Kuwa nao wote uwanjani ni disaster tu. Cristiano hawezi hata ku-control mpira. Bale anakimbia tu bila plan.Mkuu i don't like those players lakini kwa hii hali ya sintofahamu ya Benzema hao watu tutawahitaji wapige mishuti yao na mibio kuwavuruga kina shakira
Kuwa nao wote uwanjani ni disaster tu. Cristiano hawezi hata ku-control mpira. Bale anakimbia tu bila plan.
Hao jamaa ni stress tu kuwaangalia. Bora hata wacheze kina CheryshevKuna video ya bwin, Bale anaongea yuko fit na tayari kwa pambano, na Cristiano leo kutwa nzima anapiga mbio Valdebebas. Yaani hao watu lazima wawepo uwanjani.
Hao jamaa ni stress tu kuwaangalia. Bora hata wacheze kina Cheryshev