Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
January kuna haja yakufanya manunuzi maana tutakuwa na kikosi kidgo kama msimu jana
Not really. Tuko okay. Ni kuwa tumepata majeruhi mengi at once. Na hao kina Cheryshev wako vizuri. Morata nae ilikuwa hivi hivi.