Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #10,021
29 minutes tunakimbia kimbia tu, bado sana.
Jinsi jamaa wanavyo defend na attacking trick yao inaonekana wanafanya kweli.
29 minutes tunakimbia kimbia tu, bado sana.
Hii game tunafungwa tu, stream kimeo na nimevamiwa na wazushi wa magharibi huko wananiuliza maswali ya kizushi tu. Nimewadanganya mi shabiki wa Southampton ili waniache nikomae na game, ila wapi.
Tukifingwa hii game Perez lazima apanick. Utasikia kamnunu Chicharito na Wayne Rooney, hahaha.
Hahaha, yaani hii game natamani iishe tu hawa jamaa wakafanye issue zao, hata siangalii kwa raha. Muda mwingi natumia kusikiliza maswali.
Hawa hawa ndio walitufunga Uarabuni,ndio ikawa nuksi ya kukosa La liga na UCL
Bale na Arbeloa tungewaacha tu huku kama zawadi kwa waChina
Stream ya kina K.K na Terry imefeli, ya pili hii. Is this a sign?