Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #8,821
La Liga match ball 2015/2016
Lakini wanasema jamaa in person ni mtu poa halafu ni mtu wa kujituma sana, wachezaji wengi pale Valdebebas wamekiri wenyewe kwamba wamebadilika baada ya kumuona jamaa anajifua kama Mike Tyson. Wanasema baada ya zile away games squad huwa inarudi kwa ndege usiku na wanafikia Valdebebas alfajiri, wakati wenzie wanaenda kulala yeye anaunganisha mazoezi moja kwa moja.
Kweli jamaa anajituma balaa, ila bado mzushi na tabia zake za kununa nuna bila mpango.
Jamaa kila game kwake ni big match na huwa anakamia kiukweli, sasa if it happens he didn't score au akiwa na bad game na matokeo mabaya anakuwa na ile emotional frustruction caracter, kwavile kamera zote zinammulika yeye ndio watu wanasema kanuna. Anyway, hata mimi siwezi kuwa karibu na mtu ambae hawezi ku-handle the situation ni annoying kwasababu kwenye maisha kuna ups & down haiwezekani we kwako iwe kila siku sherehe tu.
kitu kingine, a Real Madrid captain should at least give a F about the club, jamaa yupo pale kwa sababu tu tunamfanya ang'ae. Huyu jamaa analinganishwa na Messi leo hii, kwa sababu anacheza RM, and he knows that. Angekuwa club ingine, angewekwa level ya kina Hazard.
Lakini I don't see Ramos going anywhere, He doesn't have that cojones. Kitu kitakachofanyika Perez atamuongeza laki tano akachore tattoos nyingine na ndio yeye atakuwa captain. Kinachoendelea hapa ni typical spanish drama tu, ooh it hurts so much, but I still love you, I'm going to the kitchen to make you sandwich, kwisha habari yake.