Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

He was trying the Isco way, I think he's not bad lakini kupata namba los blanco inabidi akomae sana. Sema timu yao nimeipenda wote ni watoto halafu walimkamata Ibra vizuri.


Nimeona taarifa kwamba Rafa anafikiria kuwatoa huyo chalii na Asensio kwa mkopo ili wakapate 1st team actions za mara kwa mara.
 
Rincon [COPE]: "You may think it's a joke
,but this player (Pique) is a great footballer,
but he's not a great person."
 
Del Bosque: "If somebody would not know
Pique, they would say his comments were
very childish and not of the national team."
 
He truly is his Papa's Hijo. Greatly taken,tho missed.

 
Last edited by a moderator:

Mirror | Real Madrid could complete the deal for De Gea this week.
 

If Varane or Pepe were to ever leave, Real Madrid would go for Juve's Bonucci as a potential replacement. [Tuttosport]

 
No need man, let him be his stupidself.

2009, Samuel Eto'o alichukua champions league na wakatalani, kwenye sherehe yao alipopewa microphone akaimba kwa kebehi,"Madrid cabrones, saluda el campeones". Pale uwanjani alipata sifa na watu walishangilia. Lakini watu wanaojua sports wakashangaa, how Eto'o could offend Real Madrid like that? Kwasababu bila wao kumleta Ulaya labda angeishia kucheza kombolela kwa Cameroon. Lakini kwakuwa alikuwa na busara, ilimchukua only few hours akapost a video kuomba samahani.
 

AS | Cheryshev: "It's Real Madrid who need to resolve my future".


- "If no important offers are tabled for me then my first option is to stay at Villarreal".
 

Alastair Campbell (English journalist) after Ødegaard's great performance against Sweden: "It's an Absolute privilege to watch Ødegard in the flesh. Imagine a 16 year old cross between Scholes and Giggs".

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…