Naona timu ikiwa bila Jude inacheza vzr zaidi...tetesi za Kloop kusema kama atasign kandarasi hatakiwi ni sahihi,Jude yupo slow hapo kati,timu inapata shida sana kucheza akiwepo.
Hii game tumeingia na kujiamini first half watu wamecheza kama wako mazoezini. Yaani jamaa wana 35% possession na 2 shot on target wamechukua point zao hivihivi. Haya masihara haya