Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ninaona tempo ipo chini sana, sijui watu wanatunza energy kwa ajili ya Atletico weekend ama ni aje, hii game ilipaswa tuimalize hichi kipindi cha kwanza!!
 
HT: Tumecheza vzr kwa kutengeneza nafasi nyingi zakufunga,japokuwa tulikuwa na kitete hatukuweza kuzitumia vzr,ungekuta tuna goal kama 4 hv hadi wakat huu wa mapumziko,mathalani tungekuwa na Gonzalo hapo anajua kukwamisha mpira sana wavuni.

Huku nyuma leo Rudiger anaongoza kwa kukaba na macho,umakini unahitaji sana second half.
 
Ninaona tempo ipo chini sana, sijui watu wanatunza energy kwa ajili ya Atletico weekend ama ni aje, hii game ilipaswa tuimalize hichi kipindi cha kwanza!!
Sahihi kabisa,kipindi cha kwanza ilikuwa tushapiga kama 3 au 4 afu sasa unatoa watu makini unaingiza Castilla hapo habar inakuwa imekwisha.
 
Arbeloa ninaona kwasasa amekunjua makucha, maana hii ni mara ya tatu anabadilisha mfumo wa kiuchezaji, leo Vini yupo kati kati zaidi pamoja na Valverde, hata namna tunavyotengeneza nafasi za kufunga tunapitia zaidi kati kati, ni hatua nzuri kama ataendelea hivi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…