Hii line-up ya leo ni mzigo kwa Alonso, kiungo hakuna kitu, beki line ndio kabisaa hakuna jambo, wamempa Militao mzigo mkubwa mpka kaumia, Carreras tangu lini amekuwa beki wa kati? Unaona kabisa hayupo aware na majukumu yake, ni afadhali Tchouameni angecheza hiyo nafasi, ila hapa ni kutaka kujiumiza tu.