Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mbona mkuu Diaz kajitahidi kucheza vizuri tu kwa nafasi yake, waliotuangusha leo ni cama na Tchouameni wameshindwa kulink vizuri na defence, Kuna mda unaona valverde kabisa anapambana mpk anazidiwa no backup
Diaz amenikumbusha ule msemo;

Jiwe walilo likataa waashi, limekua jiwe kuu la pembeni.
 
Hàtimae tumewafunga hawa jamaa tumewawinda mda mrefu wanachomokea kwenye sare
Atletico ni wabishi sana, tuliwafunga ila hatukucheza vizuri sana, labda kwenye second leg tutaimarika zaidi ukizingatia kuwa Bellingham atasimama kwenye mid pia, na bahati nzuri sie hatuna kwetu wala kwao, Ninaamani katika Ushindi.
#HalaMadrid
 
Yule kijana wetu Endrick ninaona anaendelea vizuri, ile presha ninadhani hana tena, atatusaidia sana kuelekea mwisho wa msimu, shida ni pale Carlo anapompa dakika 3.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…