Tumepoteza game, sijui ni dharau ama ni aje, ila approach ya game ya leo haikuwa sahihi, una Asencio nje, una Camavinga nje, kisha ndani una Rudiger aliyechoka na Valverde aliyetoka majeruhi,, hata Mbappe hakutakiwa kuanza, kuna muda mwingine huwa ninaona kama Carlo ana kariri.,