Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tumepoteza game, sijui ni dharau ama ni aje, ila approach ya game ya leo haikuwa sahihi, una Asencio nje, una Camavinga nje, kisha ndani una Rudiger aliyechoka na Valverde aliyetoka majeruhi,, hata Mbappe hakutakiwa kuanza, kuna muda mwingine huwa ninaona kama Carlo ana kariri.,
 
Kenge wakubwa nyie. Eti uchukue ubingww kiungo Shuameni forward rodriygo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
Kuna mabadiliko kidogo kwenye game ya leo, kati kati ya Uwanja atasimama Tchouameni na wenzie Camavinga na Brahim, game iliyopita Brahim alipotea sana, sijui leo itakuwaje.
Daah hii game labda tutegemee counta.

Maana hatuwezi kumiliki mpira kupitia camavinga na braihim ni mzuri akicheza pembeni sio kwenye playmaking
 
Daah hii game labda tutegemee counta.

Maana hatuwezi kumiliki mpira kupitia camavinga na braihim ni mzuri akicheza pembeni sio kwenye playmaking
Rodrygo ni mzuri kucheza hapo zaidi ya Brahim, acha tuone kama watakuwa wanapokezana, ila kwa aina ya team kama Atletico, tunahitaji watu wenye akili nyingi sana hapo kati.
Modric hawezi tena mikiki mikiki, so option aliyobaki nayo Mwl ni hiyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…