Game yake itabadilika tu, nakumbuka kuna watu walikuwa wanadai auzwe Benzema abaki Higuain. Kilichosaidia ni kwamba Perez ni mvumilivu sana, mpaka leo hii Benzema ni legend.
Au unakumbuka jinsi tulivyomvumilia Vinicius Jr mpaka akaipata game yake? Vini aliku anakera