choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,289
- 4,087
New HazardMbappe apunguze papara kila kitu kitaenda sawa, Ceballos ni staring material lazima aanze sijali nani atakaa bench. analeta kitu bora kuliko wengine wote ndani ya midfield.
New Hazard
Sijui Ancelotti atajifunza lini, tuna mpigaji mzuri tu kwa Bellingham, bado anampa Mbappé nafasi ya kupiga, shida ni nini?
Game ya pili hii ya kuamua matokeo huyu jamaa anatuuza tena.
Too much back passes huwa inasababisha mchezaji kukosea , kosa ni game plan Kwa manager , ukweli ni kuwa kocha anatakiwa afukuzwe kazi , timu inabaki Sana nyuma , hii inafanya wapinzani wabane space zote , adar guler ana uwezo wa dribbling lakini kocha still anacomand back passes , Kati Kati hamna creativity, issue ya mbappe ni kutokana na vipengele vya mkataba ndo mana anacheza Hadi mwisho ila mwamba ni mzigoHii team bana, Valverde ametuchoma, sijui hata ni nani mwenye afadhali.
Nawaona Atalanta wanapiga jalamba.Game hii tumehujumiwa na mbape na valverde. Kuna kazi kubwa ya kufanya december hii tuna mechi ngumu sana na muhimu sana
Ancelloti huwa ana shida kwenye kuamini,yaani akiweka imani kwa mchezaji fulani hata kama akizingua uwanjani huwezi kumshauri kitu akakuelewa, last anafukuzwa alikuwa na shida hiyo hiyo., Valverde kwasasa kiwango chake kimeshuka sana, Ceballos alikuwa na mchezo mzuri, akamtoa.,Too much back passes huwa inasababisha mchezaji kukosea , kosa ni game plan Kwa manager , ukweli ni kuwa kocha anatakiwa afukuzwe kazi , timu inabaki Sana nyuma , hii inafanya wapinzani wabane space zote , adar guler ana uwezo wa dribbling lakini kocha still anacomand back passes , Kati Kati hamna creativity, issue ya mbappe ni kutokana na vipengele vya mkataba ndo mana anacheza Hadi mwisho ila mwamba ni mzigo
Jamaa wapo vizuri sana kwasasa, Ancelloti asipokuwa makini hii December inaweza kuwa ngumu sana kwake.Nawaona Atalanta wanapiga jalamba.