Mtanyooshwa mwaka huu mpaka mkome mlijikuta sana Kulia kupokezana na kama mnavyojuaga Barca huwa akijipata basi La liga huwa watu wanacheza kukamilisha ratiba tu maana Bingwa ni yeye,
Huku Uefa ndo hata msiwekee ndoto mechi mtakayokutana na Liverpool heri Tv zigome kuirusha live hiyo mechi maana Kubwa Buyu( Real madrid ) atapigwa kama Punda aliyemdondosha mfalme.