Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Fermin Lopez huyu huyu ambae thamani yake haifiki hata euro m 50?

Kwahyo walowatoa Musiala, witz, Gernacho, Palmer, Diaz , Bellingham Greenwood, Camavinga, Tshuaminen wasemaje?

Au wote hawa hawakutoka academy?

Au walitoka La masia?

mbona yamal unamruka kutika masimulizi yako? na kwa kujalizia tu kuna Pedri, Gavi, Balde
 
Wewe jamaa unajua mpira kabisa.
 
mbona yamal unamruka kutika masimulizi yako? na kwa kujalizia tu kuna Pedri, Gavi, Balde
Nimemruka kwa sababu yeye ndio top talent pekee kwa sasa tokea la masia.

Huyo pedri hajakulia la masia, Bali kasajiliwa na kwenda barca ya wakubwa.

Hao kina Gavi wa kawaida tu kama ilivyokua Dani Ceballos huwezi kuniambia ni most talented player

Ndio sababu na mm ninekutajia top talent mmoja mmoja ambao wamezalishwa academy tofauti totauti na hazitajwi kama wewe unavyosema et la masia is the Best Academy of the world now.

kwa kutoa mchezaji mmoja!!!!
 

sasa mkuu twambie wewe best academy ni ipo?
 
Kutokana na nafasi zao Hienda wachezaji wakawa ndani ya muundo huu....

Itategemea Doni ataingia na mfumo upi.

Halla Madrid
 

Attachments

  • FB_IMG_1728152300509.jpg
    79.5 KB · Views: 18
Kabla ya mechi nilikua naangalia clip ambayo hazard alikua anasifia upigaji wa mashuti wa Federico Valverde.

Baada ya mechi Ht tu nimeona alichukua anasifia Hazard kina tokea...

Jamaa ana nguvu miguuni kama hazard alivyosema...

Just imagine umbali huu na Kipa hajatoka ila msumari umeingia Bila kupingwa
 

Attachments

  • FB_IMG_1728158097074.jpg
    60.2 KB · Views: 25
Game imeisha tumeua...

Urejeo wa Camavinga unaleta tija pale kati kati.
 

Attachments

  • FB_IMG_1728162408665.jpg
    61 KB · Views: 20
Imekua bahati mbaya kwa Dani Carvajal mzee wa fitina..

Ametoka akilia baada ya kuumia.

Get well soon Mwamba
 

Attachments

  • FB_IMG_1728162385064.jpg
    39.7 KB · Views: 18
🚨 Fede Valverde: "Matokeo ni jambo muhimu zaidi kwa sasa, tuna wasiwasi sana kuhusu Dani Carvajal."
 

Attachments

  • FB_IMG_1728162944936.jpg
    55 KB · Views: 19
NAwachukia sana nyie kenge.Wakitoka Ccm, shetani na polisi wa tz mnafata nyie kwa kuwachukia.
Kaka upo kama mimi hawa mbwa siwapendi mnoo, msimu huu wasipoambulia kombe lolote nafanya tafrija fupi hapa nyumbani Kwangu,

Na nitaarika watu nawaambia nasherehekea Uzima na afya njema ila moyoni nitakuwa najua ukweli wa nachosherehekea.
 
Toka yule Chizi Ramos alivyotaka kumnyofoa mkono MoSalah hii timu nimetokea kuichukia mnooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…