IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,799
- 7,228
Tchouameni Nje kuikosa fainali hii maana yake Babu modric na babu kroos wataanza kwakweli mjiandae kwa kipigo kitakatifu
Hakuna aliyekimbia uzi ila wewe unakiherehere na shughuli haikuhusu.Fainali bado siku sita lakini mmekimbia uzi
Kuna uwezekano mkubwa kikosi cha leo ndio kikaanza fainali UCLNaona leo carlo kaanzisha kikosi cha final ya UEFA
Ingawa hawafurahishwi na mafanikio yetu lakini wanafahamu kuwa Real Madrid ni timu bora.Msimu umemalizika kwa upande wa Ligi, sasa tunaelekea kwenye Fainali ya UCL.,ni matumaini yangu tutamaliza msimu kwa kishindo kikubwa
uyo mchezaji angeenda madrid angeishia tu kubeba viatu vya kina vin junior ni bora aligoma akabaki kuendelea kucheza ligi ya MbuziIkumbukwe mwaka 2019 Harvey Elliott alikataa kwenda Madrid na kusalia Liverpool
Amefanya kazi nzuri, nilikuwa natamani awe kinara wa mabao pia ila bahati haikuwa upande wake.Bellingham scoops LaLiga Player of the Year Award
![]()
Yeah, alijitahidi na mchango wake umeonekana.Amefanya kazi nzuri, nilikuwa natamani awe kinara wa mabao pia ila bahati haikuwa upande wake.
Bonge la kocha hili nasikia ancelotti anatimuliwa jumamosi usikuHere we go with Barcelona SC. View attachment 3002759