Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

mkuu kwanini munaumia na mimi kutoa mawazo yangu? kila mtu uwanjani anafanya jitihada, kwa hiyo hapa hatupu kwenye kzuungumzia jitihada, nimezungumza performance nzuri na sio jitihada.
watu awaumi ila wanakuona ni mjinga unakuweje shabiki wa timu ambayo huwapendi wachezaji wake kama sio unafiki ni nin au wew ni yule shabiki wa city una ID mbili mbili unajifanya ni shabiki wa Real madrid kumbe ni muongo ungekua shabiki wa kweli wa Real madrid usingekua unakuja kila siku na stori ya kukosa mchezaji tumekuchoka punda we
 
ndio nikasema unaumia mkuu, mana wenzio wametulia tu
Nani aliyetulia kweny hili jukwaa wew si ndio unaongoza kwa kupaluliwa na watu ulivyo mjinga kila siku unakuja na kimada chako icho icho jude jude acha kutafta sifa za kipuzi watu wapo kweny hili jukwaa kufrahia soka la timu yao wew unakuja na macomment ya ukosoaji usizani watu wanapenda unachoandika watu kukaa kimya haina maana kama hawaoni ujinga wako Punda wa kijani we
 
Hao siku hizi wanahamia kila timu, Manchester City, leo walikuwa Bayern, na kuanzia usiku huu ni Borrusia Dortmund. Hao ni bure kabisa hao
Ni kweli mkuu ujuwe Ukiwa shabiki wa barca ukonde bure tuu. Barca yao.
All anti- madrid clubs pale la liga ni clubs zao.
Man city
Buyern munchen
Dortmund
Liverpool
Chelsea
Muda huu wanajisogeza na Liverkursen
Aseee hawa watu wakikonda ntawashangaa mbona wana clubs nyingi za kuwapa matokeo.
Mwakani hawachezi UCL lakini tayari wameshapata machaka ya kushabikia.
 
Nimescreen shot hii comment. Mkuu umeweza kuchambua kitaalam. Ila jana kijana wako JUDE hajaperfom vizur. Pengine seasonal fatique. Tumpe muda.
 
Nimescreen shot hii comment. Mkuu umeweza kuchambua kitaalam. Ila jana kijana wako JUDE hajaperfom vizur. Pengine seasonal fatique. Tumpe muda.
mim sikatai kwamba mchezaji hawezi kuperfom vizuri shida kubwa ni kwanin tumekaa tunasubiri mchezaji akosee tupate pa kusema kwanin tusifrahie ushindi wa timu kuliko kuaza kujadili makosa ya Jude yule bado ni kijanaa apewe mda atafikia tu peak yake
 
Mechi nyingi tu zina controversy. Tatizo ikishakua ni Madrid issue inazungumzwa sana. Kuna vyombo vya habari, team na pundits wanaumia sana mafanikio ya madrid.
Mechi za Bayern vs Madrid nyingi huwa hivi, hasa ukizingatia zinakutana hatua za nusu fainali au robo hivyo huvuta macho ya wengi.
 
mkuu kwanini munaumia na mimi kutoa mawazo yangu? kila mtu uwanjani anafanya jitihada, kwa hiyo hapa hatupu kwenye kzuungumzia jitihada, nimezungumza performance nzuri na sio jitihada.
Kwamba wewe unajua mpira kuliko Perez na Ancellot?
 

kwa hiyo ukishabikia timu lazima ushabikia kila upuuzi ndani yake? utetee kila upuuzi? mimi sio mnnafiki siwezi kupambia kitu eti kwa kuwa kitu kipo kwangu wakati nakiona hakistahiki hayo mapambio.
 

mkuu matusi yote ya nini hayo? mbona una panic? usije ukavunja simu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…