United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
watu awaumi ila wanakuona ni mjinga unakuweje shabiki wa timu ambayo huwapendi wachezaji wake kama sio unafiki ni nin au wew ni yule shabiki wa city una ID mbili mbili unajifanya ni shabiki wa Real madrid kumbe ni muongo ungekua shabiki wa kweli wa Real madrid usingekua unakuja kila siku na stori ya kukosa mchezaji tumekuchoka punda wemkuu kwanini munaumia na mimi kutoa mawazo yangu? kila mtu uwanjani anafanya jitihada, kwa hiyo hapa hatupu kwenye kzuungumzia jitihada, nimezungumza performance nzuri na sio jitihada.
Nani aliyetulia kweny hili jukwaa wew si ndio unaongoza kwa kupaluliwa na watu ulivyo mjinga kila siku unakuja na kimada chako icho icho jude jude acha kutafta sifa za kipuzi watu wapo kweny hili jukwaa kufrahia soka la timu yao wew unakuja na macomment ya ukosoaji usizani watu wanapenda unachoandika watu kukaa kimya haina maana kama hawaoni ujinga wako Punda wa kijani wendio nikasema unaumia mkuu, mana wenzio wametulia tu
Ni kweli mkuu ujuwe Ukiwa shabiki wa barca ukonde bure tuu. Barca yao.Hao siku hizi wanahamia kila timu, Manchester City, leo walikuwa Bayern, na kuanzia usiku huu ni Borrusia Dortmund. Hao ni bure kabisa hao
Nimescreen shot hii comment. Mkuu umeweza kuchambua kitaalam. Ila jana kijana wako JUDE hajaperfom vizur. Pengine seasonal fatique. Tumpe muda.Hesabu za don carlo ziljibu kama uliona vizur kipind cha pili Vin alishuka pembeni na akawa anatengeneza nafasi nyingi zikawa zinakosa mtu wa kuzitumia alitengeneza nafasi kama nne ivi mipira ikawa inapita tu had kuna mda alikua ana amua a drive akafunge mwenye
Joselu alingia kumalizia nafasi zilzokua zinatengenezwa zinakosa mtu wa kumalizia na Ndio shida ya madrid ilikua apo na camavinga na Luca modric walingia kupush mashumbulizi katika ya kiwanja Brahim diaz sub yake ilikua ni kuongeza pressure eneo la kushoto la Bayern asa kupunguza kasi ya Davies maana alikua anapanda kwahyo kitendo cha Brahim kuwa anashambulia sana kilimfanya Davies aze kurudi kusaidia kukaba kiufupi Sabu za Carlo zilikua tecnical sana
Mechi nyingi tu zina controversy. Tatizo ikishakua ni Madrid issue inazungumzwa sana. Kuna vyombo vya habari, team na pundits wanaumia sana mafanikio ya madrid.Hizi mechi za real Madrid na Bayern munchen laziwe ziwe na controversy ndani yake, mechi ikiisha lazima usikie hivi mara hivi.
mim sikatai kwamba mchezaji hawezi kuperfom vizuri shida kubwa ni kwanin tumekaa tunasubiri mchezaji akosee tupate pa kusema kwanin tusifrahie ushindi wa timu kuliko kuaza kujadili makosa ya Jude yule bado ni kijanaa apewe mda atafikia tu peak yakeNimescreen shot hii comment. Mkuu umeweza kuchambua kitaalam. Ila jana kijana wako JUDE hajaperfom vizur. Pengine seasonal fatique. Tumpe muda.
Mechi za Bayern vs Madrid nyingi huwa hivi, hasa ukizingatia zinakutana hatua za nusu fainali au robo hivyo huvuta macho ya wengi.Mechi nyingi tu zina controversy. Tatizo ikishakua ni Madrid issue inazungumzwa sana. Kuna vyombo vya habari, team na pundits wanaumia sana mafanikio ya madrid.
Na bado fainali tena utalia kazi unayoVitu navyovichuki duniani
1 shetani
2 Umasikini
3 Man UTD
4 Real Madrid
Kwamba wewe unajua mpira kuliko Perez na Ancellot?mkuu kwanini munaumia na mimi kutoa mawazo yangu? kila mtu uwanjani anafanya jitihada, kwa hiyo hapa hatupu kwenye kzuungumzia jitihada, nimezungumza performance nzuri na sio jitihada.
watu awaumi ila wanakuona ni mjinga unakuweje shabiki wa timu ambayo huwapendi wachezaji wake kama sio unafiki ni nin au wew ni yule shabiki wa city una ID mbili mbili unajifanya ni shabiki wa Real madrid kumbe ni muongo ungekua shabiki wa kweli wa Real madrid usingekua unakuja kila siku na stori ya kukosa mchezaji tumekuchoka punda we
Nani aliyetulia kweny hili jukwaa wew si ndio unaongoza kwa kupaluliwa na watu ulivyo mjinga kila siku unakuja na kimada chako icho icho jude jude acha kutafta sifa za kipuzi watu wapo kweny hili jukwaa kufrahia soka la timu yao wew unakuja na macomment ya ukosoaji usizani watu wanapenda unachoandika watu kukaa kimya haina maana kama hawaoni ujinga wako Punda wa kijani we
Nimescreen shot hii comment. Mkuu umeweza kuchambua kitaalam. Ila jana kijana wako JUDE hajaperfom vizur. Pengine seasonal fatique. Tumpe muda.
Kwamba wewe unajua mpira kuliko Perez na Ancellot?
kwa hiyo ukishabikia timu lazima ushabikia kila upuuzi ndani yake? utetee kila upuuzi? mimi sio mnnafiki siwezi kupambia kitu eti kwa kuwa kitu kipo kwangu wakati nakiona hakistahiki hayo mapambio.
Na vyote vinakuadama labda man u ndio kakulegezea kidogo, Ila umaskini, shetani na madrid havikuachi salamaVitu navyovichuki duniani
1 shetani
2 Umasikini
3 Man UTD
4 Real Madrid
Mkuu mimi sijui mpira kuliko ten hag, lakini pia nafahamu kuwa Onana ni mbovu sana. Kwa hiyo hiyo hoja yako ni dhaifu sank