Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Na ndio kilichomua thomas kuna mda alikua anaamini mechi imeisha wakati game ilikua mbichi kabisa
 
Wewe sio Real Madrid wala nini, kwanza hata football yenyewe huijui, okay tuelezee unataka kusema nini? Tuambie hii mbeleko ikoje?
Sawa, sihangaikagi kubishana na Mtu ambaye ana mahaba badala ya akili.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Waambieni kwamba hawapaswi kuamini kuwa wameshinda mpaka wahakikishe refa amepiga filimbi na wachezaji wote wa Real Madrid pamoja na mashabiki wawe wametoka uwanjani.

HalaMadrid!
Kweli refa alipiga filimbi, filimbi ya mbeleko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…