Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,368
Hiki kikosi chetu cha leo dhidi ya Sociedad😂😂😂dah...naona rotation ya nguvu imefanyika.
Ndio nani huyu, sijawahi kumsikia kabisa., Carvajal anatoa pasi ya upendo na Arda Guler anaweka mpira kambani.
HalaMadrid
Kijana wetu kutoka Uturuki., tulimsajili msimu huu, ila bahati mbaya akaandamwa na majeruhi so hakupata nafasi ya kucheza kwa muda mrefu., ndio anapewa dakika kadhaa kujiimarisha kimchezo na kujiamini., ana jitihada sio mbaya atatusaidia huko mbeleniNdio nani huyu, sijawahi kumsikia kabisa.
Bado tano, sio nne.Bado point 4 tutangaze ubingwa, game inayofuata tutakuwa Santiago Bernabeu
Tumebakiza mechi 5, hapo tunahitaji point 4 tu, kwani tutafikisha point 88 sawa na Barcelona endapo atashida game zake zote zilizobaki, ila sie tumempiga nje ndani, so hiyo pekee inatuhakikishia Ubingwa.Bado tano, sio nne.
Tumebakiza mengi ngapi?
What if tukalingana point halafu tukazidiwa Goal DifferenceTumebakiza mechi 5, hapo tunahitaji point 4 tu, kwani tutafikisha point 88 sawa na Barcelona endapo atashida game zake zote zilizobaki, ila sie tumempiga nje ndani, so hiyo pekee inatuhakikishia Ubingwa.
La liga hawangalia Goal difference wanangalia kwanza matokeo yenu ya Head to Head aniliyemshinda mwezake Ndio anakua Bigwa ikitokea kweny Head to Head mmefanana wanatumia sheria ya kadiWhat if tukalingana point halafu tukazidiwa Goal Difference
Kucheza kwa nidhamu na kum-heshimu mpinzani ni muhimu kweli kweli, sioni vijana wakiingia na matokeo uwanjani, ila hari ya kupambana.,Next week tupo na BAVARIANS.
Sisi tunaweza cheza michezo yote. Long passes tukiwa tunacheza na clubs kama BARCA, au CITYZENS.
Ila tukicheza na timu zonazopiga long passes kama BAVARIANS, CHELSEA, LIVEEPOOL na wengine tunabadilika tunapiga short passess mpira wa pasi fupi fupi nyingi.
Hopefull tupo fainali tukicheza kwa nidham bila kuingia na matokeo mkononi
Kweli kabsaaNext week tupo na BAVARIANS.
Sisi tunaweza cheza michezo yote. Long passes tukiwa tunacheza na clubs kama BARCA, au CITYZENS.
Ila tukicheza na timu zonazopiga long passes kama BAVARIANS, CHELSEA, LIVEEPOOL na wengine tunabadilika tunapiga short passess mpira wa pasi fupi fupi nyingi.
Hopefull tupo fainali tukicheza kwa nidham bila kuingia na matokeo mkononi
Hapana, atakuwepo man., hata Courtois amerudi kwenye kikosi, sijui kama atacheza ama vp Ancelloti ndie mwenye maamuzi.Kweli kabsaa
ivii Hii mechi tutamkosa tena Tshouamen?
Bayern Munich kwisha habari yaoHapana, atakuwepo man., hata Courtois amerudi kwenye kikosi, sijui kama atacheza ama vp Ancelloti ndie mwenye maamuzi.
REAL MADRID SQUAD:
Goalkeepers: Courtois, Lunin, Kepa.
Defenders: Carvajal, Militão, Alaba, Nacho, Lucas Vázquez, Fran García, Rüdiger, Mendy.
Midfielders: Bellingham, Kroos, Modrić, Camavinga, Valverde, Tchouameni, Ceballos, Arda Güler.
Forwards: Vini Jr., Rodrygo, Joselu, Brahim.
Bayern Munich kwisha habari yao
Naam Hii ni UEFA na ni semi finalhii game siyo nyepesi mkuu
Naam Hii ni UEFA na ni semi final
Hakuna kuchukuliana poa,
Ila mm naamini Madrid akifikaga hatua Hii hutolewa Kwa mbinde sana,
Tena timu ilinayomtoa hua ni Bora kweli kweli, ndomana mara nyingi anaetutoa hatua Hii huchukua ndoo,
Kwa mwaka huu Hii Bayern hapana ni nyepesi Sana.