Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Luka alivyoingia timu ikawa na uhai kidogo sasa mbele yake angewapata vijana Mbappe,Vin, Rodrygo asee timu ingekuwa ya moto

Nmesikia Mbappe kaomba akija aje na Hakimi kama itakuwa ivyo itapendeza uyu ni beki wa kulia mzuri tu
 
Mech ya leo ilikuwa ngum asee sema tumecheza kwa nidhamu sana ila kama Mbappe akijiunga mwakan basi hiyo counter attack ya vini na yule ni nani ataizuia... we'll become untouchable
Luka alivyoingia timu ikawa na uhai kidogo sasa mbele yake angewapata vijana Mbappe,Vin, Rodrygo asee timu ingekuwa ya moto

Nmesikia Mbappe kaomba akija aje na Hakimi kama itakuwa ivyo itapendeza uyu ni beki wa kulia mzuri tu
 
Luka alivyoingia timu ikawa na uhai kidogo sasa mbele yake angewapata vijana Mbappe,Vin, Rodrygo asee timu ingekuwa ya moto

Nmesikia Mbappe kaomba akija aje na Hakimi kama itakuwa ivyo itapendeza uyu ni beki wa kulia mzuri tu
Na ndio maana kipara akafanya Sub ya Stone na Kova ili kurudisha uhai kweny kiungo cha City na Kweli walivoingia tu City akabadilika Tena wakati tulikua tushamkata kipara ni mjanja sana ila leo kakutana na Master
 
Na mwakani ana tua mbappe nilikuwa sina confidence juu ya ujio wa mbappe nilihisi uta disrupt rhythm ya madrid na utawala wa kina jude

laah jude ni kiboga tu pale mbele Madrid wanamuhitaji sana Mbapee mwenye caliber yake yule moto pia wapate kiongo bora kama modric ( writz )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…