Jamaa huwa wana intensity ya hali ya juu kweli kweli., msimu uliopita walitufunga pale kwao., ila this time ninaona ile uoga wa kuwa hatuna beki wa kati imetusaidia team kukaba kwa ushirikiano.
Kwenye kitu Perez anajitahidi kukikweka sawa ni kwenye suala la mshahara wa wachezaji, hataki kutoka kwenye structure waliojiwekea., hii imetusaidia sana kwa muda mrefu.,
Kwenye kitu Perez anajitahidi kukikweka sawa ni kwenye suala la mshahara wa wachezaji, hataki kutoka kwenye structure waliojiwekea., hii imetusaidia sana kwa muda mrefu.,
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
Jamaa walianza kupoteana kwenye ishu mishahara., huwezi kushangaa kwa kile kikosi chao ati wapo nafasi ya pili kwenye viwango vya ulipaji mshahara kwa wachezaji., si kituko hicho.
Hawa tukicheza nao kwao wanakomaa kishenzi. Stadium yao ndogo halafu wanapiga makelele hatari. Walikuwa tunawafunga kwa tabu tangu enzi za CR7, Benzema na Bale wapo kwenye peak