Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamaa walituvuruga sana, individual brilliance ndio imetuokoa, ila team wise jamaa walikua na intensity kubwa sana..
Jamaa huwa wana intensity ya hali ya juu kweli kweli., msimu uliopita walitufunga pale kwao., ila this time ninaona ile uoga wa kuwa hatuna beki wa kati imetusaidia team kukaba kwa ushirikiano.
 
Kwenye kitu Perez anajitahidi kukikweka sawa ni kwenye suala la mshahara wa wachezaji, hataki kutoka kwenye structure waliojiwekea., hii imetusaidia sana kwa muda mrefu.,
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
 
Kabisa, nimeona report za mishahara kwenye vilabu vya ligi bora 5, Ndugu zetu wanaongoza. Nimejiuliza wanamlipa nani mshahara mkubwa considering age ya wachezaji na viwango uwanjani... Perez yupo vizuri sana.
Jamaa walianza kupoteana kwenye ishu mishahara., huwezi kushangaa kwa kile kikosi chao ati wapo nafasi ya pili kwenye viwango vya ulipaji mshahara kwa wachezaji., si kituko hicho.
 
Hawa Rayo huwa kuna nyakati tunapata ushindi kwa shida sana na hata draw...leo inatakiwa tuwakanda mapema tu.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app

Hawa tukicheza nao kwao wanakomaa kishenzi. Stadium yao ndogo halafu wanapiga makelele hatari. Walikuwa tunawafunga kwa tabu tangu enzi za CR7, Benzema na Bale wapo kwenye peak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…