pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,259
- 3,744
Vin ana umachachari mwingi ila anapoingia kwenye 18 anakuwa siyo hatar...huwez kumpa hata 20% yakufunga goli akiingia kwenye 18...nakubaliana na wewe,ni either kocha abadilike au kocha aondoke yeye maana huu mfumo ni kila mtu anajichezea hakuna timu ila tuna wachezaji..Binafsi, sikufanikiwa kuangalia game yetu, niliangalia highlight tu kidogo, hata hivyo sikuridhishwa na nilichokiona, kuna shida niliiona, na ni hii ya kutokuwa na kiongozi, kwa muda mrefu sana tumekuwa na tendency ya kumtengenezea mfungaji wetu nafasi za ufungaji, ila nilichokiona pre season hatuna huyo mtu kwa sasa., imekuwa ni vurugu tu mtu anapofika na mpira ndani ya eneo la hatari ya team pinzani.
Vinicius akifika anapiga, haangalii kama kuna mwenzie aliye sehemu nzuri zaidi ama laa, Bellingham na yeye anataka kuonyesha umwamba., Rodrygo pekee ninaona anajaribu hata kucheck wenzie.
Sasa ni muda sasa wa Ancelloti kuamua ni nani atakuwa mfungaji wetu, ili sasa team ifocus kumtengenezea nafasi kama tulivyofanya kwa akina Cristiano na wenzie huko nyuma., hapo ndipo tutaona uelekeo wa team, laa sivyo hizi vurugu pale mbele hazitaisha.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app