Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Tajiri Kichwa If that's so, I give a big no. Usiniambie kwamba tunaenda kuanza msimu tukimtegemea Joselu na huyo kinda sijui pale mbele. Hii haiko sahihi kabisa. And if that is going to be so, then we are going to have a worse season ahead ( mambo ya Kupambania kubaki top four) kitu ambacho sihitaji kabisa kukishuhudia.
Nasikia kipa wetu kaumia itakuaje aisee
Au de gea atatua Madrid
Ni mchezaji wa Chelsea, nadhani hata kwenye line-up ya kesho yupo kama sikosei.
Na huyo Fran Garcia hana quality ya kuvaa hio jeziHuyu Vin anapoteza mipira mingi sana ambayo ingezaa magoli...
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Sio fununu man, ni Ukweli, tutamkosa msimu mzima pamoja na Courtois.,Nasikia fununu kwamba MILTAO atakuwa nje ana majereha. Twafaaaa
Nilidhani angejirekebisha baada ya kufanya mambo hayo pre season ila bado hali ni ile ile., ni muda sasa Ancelloti kumwelekeza kijana kitu cha kufanya anapokuwa kwenye box la team pinzani.Huyu Vin anapoteza mipira mingi sana ambayo ingezaa magoli...
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Binafsi, sikufanikiwa kuangalia game yetu, niliangalia highlight tu kidogo, hata hivyo sikuridhishwa na nilichokiona, kuna shida niliiona, na ni hii ya kutokuwa na kiongozi, kwa muda mrefu sana tumekuwa na tendency ya kumtengenezea mfungaji wetu nafasi za ufungaji, ila nilichokiona pre season hatuna huyo mtu kwa sasa., imekuwa ni vurugu tu mtu anapofika na mpira ndani ya eneo la hatari ya team pinzani.Juzi niliangalia game ila sikutoa recommendation hapa. Ukweli tulishinda ila mpira wetu bado si tishio kabisa. Hatuna structure ya kushambulia, build up pia haipo.
Kidogo alivyongezeka modric ndio nikaona kiasi chake tunauwezo ata wa kuzunguka 18 ya mchezaji.
Timu bado sana
Binafsi, sikufanikiwa kuangalia game yetu, niliangalia highlight tu kidogo, hata hivyo sikuridhishwa na nilichokiona, kuna shida niliiona, na ni hii ya kutokuwa na kiongozi, kwa muda mrefu sana tumekuwa na tendency ya kumtengenezea mfungaji wetu nafasi za ufungaji, ila nilichokiona pre season hatuna huyo mtu kwa sasa., imekuwa ni vurugu tu mtu anapofika na mpira ndani ya eneo la hatari ya team pinzani.
Vinicius akifika anapiga, haangalii kama kuna mwenzie aliye sehemu nzuri zaidi ama laa, Bellingham na yeye anataka kuonyesha umwamba., Rodrygo pekee ninaona anajaribu hata kucheck wenzie.
Sasa ni muda sasa wa Ancelloti kuamua ni nani atakuwa mfungaji wetu, ili sasa team ifocus kumtengenezea nafasi kama tulivyofanya kwa akina Cristiano na wenzie huko nyuma., hapo ndipo tutaona uelekeo wa team, laa sivyo hizi vurugu pale mbele hazitaisha.