Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Au mazoezini hali huwa ni tofauti nini?wakiwa wanafanyia kazi mazoezi yakupiga mipira ya namna hiyo?Wakianza Militao na Rudiger itapendeza sana.
Alaba akae bench just in case.
Hivi kwanini faulo nyingi anapiga Alaba wakati Asensio/Rodyrigo/Kroos wana accuracy kubwa kuliko yeye, hua sielewi.
Kwan Kuna shida? Kwa taarifa Yako vibe la kibanda umiza Huwa Lina ladha yake binafsi Nina tv na kingamuzi kinachoonyesha hizo mechi ila wakat wa mechi lazima niwepo kibanda umiza to feel the vibe of the game.Kumbe ww mpira unaangaliaga kibanda umiza mzee
Hahahhahahahhaha....eee mwanangu...kama anaweza cheza beki kwa nn ashindwe kiungo,unakumbuka kipindi cha mourinho mechi za El classico na mechi ngumu za UCL?Ramos au pepe walikuwa wanacheza kiungo mkabaji..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Mimi nimeanza kuwa shabiki wa real Madrid tokea 2000Binafsi sijawahi ona mashabiki wa real Madrid bongo hata jf hakuna ....
Hakuna mtu anayefuatilia ligi mbovu kama la Liga,week after week hata vibanda umiza huwezi Kuta wanapoteza muda kuangalia la Liga ,ni Bora kucheki game za Brighton vs lecister city .....
nyie wote humu ni mamruki ambao mnatokoea msimu wa UEFA tu na kupoteana baada ya mashindano ya UEFA kuisha ....kisa Madrid anacheza UEFA .....
Futeni huu Uzi hauna maana
Afu ukae unapoteza muda kujibizana na watu kama hao. Nishaacha kabisa.
Naona kocha kasema game inayofata atapumzisha baadhi ya key player ambayo ni laliga.
Sema j5 ana kazi maana alaba na rudiger walicheza vizuri. Militao naye anarudi sijui itakuaje
Hahahhahahahhaha....eee mwanangu...kama anaweza cheza beki kwa nn ashindwe kiungo,unakumbuka kipindi cha mourinho mechi za El classico na mechi ngumu za UCL?Ramos au pepe walikuwa wanacheza kiungo mkabaji..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Unawasikia eti wanajitapa wenyewe mashabiki wa La Liga. Humu wote wana timu zao za EPL ila ni glory hunters tu wanaoshabikia Madrid sababu inafanya vizuri UEFA tu.
Bongo hakuna mashabiki wa La Liga ukitaka kuamini hakuna kibanda umiza TZ kinachoonesha mechi za La Liga tofauti na El classico
Wenzako humu wanesema mashabiki wa EPL wana matusi na Madrid wastaarabu ila kumbe na nyie walewale. Unashabikia timu gani EPL mkuu?Kwahiyo kwa fikra zako watu wote wanashabikia EPL? Pumbav kabisa
Heko Madrid
Jana sijafanikiwa kupata muda wa kutazama game na getafe. Sahizi ndio napitia report ya mechi naona camavinga alikua na knock kidogo. Inatia wasi wasi kama ata kuwapo kwenye game ya j5. Pia tchouameni jana kaupiga wa kumwagika.
Ngoja nimalizie kunywa supu nitazame marudio game nzima. Japo tulikua na ushindi mwembamba
Mwenyew sikutazama ila niliona line up Hazard alianza ukiurudia nitazamie kama anashawishi au tukubali yaishe
Don Carlo kasema sio tatizo kubwa atakua sawa na next match atakuwa uwanjani.Heko Madrid
Jana sijafanikiwa kupata muda wa kutazama game na getafe. Sahizi ndio napitia report ya mechi naona camavinga alikua na knock kidogo. Inatia wasi wasi kama ata kuwapo kwenye game ya j5. Pia tchouameni jana kaupiga wa kumwagika.
Ngoja nimalizie kunywa supu nitazame marudio game nzima. Japo tulikua na ushindi mwembamba
Hujui chochote kuhusu vilabu nje ya EPL au unafatilia EPL tu. Niletee rekodi ya michuano inayo kutanisha vilabu mbalimbali toka ulaya yote tuone kama kuna team toka EPL inarekodi kubwa kuliko team toka nje ya EPL. EPL ni miongoni tu mwa ligi bora na maarufu Duniani na siyo kwamba ndo kila kitu kwenye football, data zinakataa.Siamin kama Kuna mtu humu anafuatulia la Liga to be honestly....
Hii timu ni grory hunter UEFA tu ,baada ya hapo hautayaona humu
Football = epl
Hayo mengine ni mkusanyiko wa wahuni wanacheza uwanjan ...
Masikin cheki huyu plastic fan wa Madrid hata hajui kikosi cha Jana Madrid walikuwaje ...Hujui chochote kuhusu vilabu nje ya EPL au unafatilia EPL tu. Niletee rekodi ya michuano inayo kutanisha vilabu mbalimbali toka ulaya yote tuone kama kuna team toka EPL inarekodi kubwa kuliko team toka nje ya EPL. EPL ni miongoni tu mwa ligi bora na maarufu Duniani na siyo kwamba ndo kila kitu kwenye football, data zinakataa.
Na huyo Man City tunaenda kumfunga hapo Etihad na kumtupa nje ya michuano ya UEFA na ndo maana unaumia.
Kumbe unafatilia Laliga hata wewe? alafu unajisemesha huzan kama kuna mtu anafatilia Laliga? Kikosi cha jana shida nini kama tulipata point 3 au ulitaka tushinde kwa magori 15?Masikin cheki huyu plastic fan wa Madrid hata hajui kikosi cha Jana Madrid walikuwaje ...
Rudin kwenye team zenu bana