Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,413
- 2,358
Mechi ilikua ya ushindi kabisa, Kuna kazi kubwa Etihad
Nimeongelea kibanda umiza sababu ndio sehemu unaweza pima timu ina mashabiki au laah. Bongo hakuna mashabiki wa La Liga mzee hata wewe na uhakika una timu unayoikubali EPL Madrid umefata glory tu ya UEFA.
Kama unabisha nitajie kibanda umiza kinachoonesha Mwchi ya La Liga na watu wakatoa hela kuangalia wakazidi hata watatu tofauti na mechi ya El classico
Nani kakudanganya kibamda umiza ni matusi tu watu wanaenda kibanda umiza kujumuika na washabiki wenzao mtu ana Dstv nyumbani ila hakuna vibe anaenda kulipata bar au kubanda umiza.Nandio maana Laliga hamna mashabik wadizaini hiyo unayoitaka ww wakelele namatusi kwenye majukwaa yasiyo yao sababu epl fans wengi wamerithi kutoka kababu au baba zao
Nani kakudanganya kibamda umiza ni matusi tu watu wanaenda kibanda umiza kujumuika na washabiki wenzao mtu ana Dstv nyumbani ila hakuna vibe anaenda kulipata bar au kubanda umiza.
Kama shida ni kelele hata Anfield,Santiago,Bernabeu kuna kelele mpira na tambo na kelele kelele ni vitu havitengani. Narudi tena kusema hakuna mashabiki wa La Liga bongo hata humu mmefata glory ya UEFA tu na nina uhakika mna timu za EPL mnazikubali
Unashabikia timu gani EPL mkuuFikra zakikoloni hizo wengine hatuna
Unashabikia timu gani EPL mkuu
😃😃😃😃 Haina shida mkuu usiitajeSijawah kuwa natimu pande hizo maana sivutiwi nazo
Haina shida mkuu usiitaje
Mkishinda Etihad niitwe Aisha miunoHakuna mwaka ambao Madrid tuliwahi pewa % kubwa yakuchukua UCL ila huwa tunafanya hivyo nakuweka records.
Tutanyanyua tena hii ndoo.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Hahahahhahaha...muda utazungumza..Mkishinda Etihad niitwe Aisha miuno
Watu kibao ni diehard fans wana timu zao EPL na hawatokei kwenye magroup pendwa ya timu za EPL hapa JF so wewe kutokutokea haithibitishi kwamba wewe hushabikii timu za EPL😃.Nitafute kwenye majukwaa yenu huko kama utaniona
Kumbe ww mpira unaangaliaga kibanda umiza mzee
Nafikiri anaweza wachezesha wote kwa maana ya miltao akawa kama kiungo mkabaji na atasaidia kuwini mipira ya juu na wakat huo huo wakipokezana na Antonio Rudiger kuzuia mipira isiende kwa halland na mara kwa mara wakipokezana kwenda kucheza mipira ya kona au setpc zingine kwenye lango la adui,jana kama utakumbuka lile goli tulilofungwa ni kroos kuchelewa kufika alipo KDB au tuseme alimkaba kwa macho KDB,ilihali modric alikuwa ameshamtoa kwenye sight huyu kiungo wao aliyetoa assist,lakini pia naona kauli ya Valverde kuwa anafeel mwili kuchoka izingatiwe,ikibidi upande wake ule aanze Ansensio au Lucas.
This game is still 50% 50%...Benzema anatakiwa awe yule ambaye wa msimu jana,wa kila nafasi anayoipata ni goli,jana kakosa umakini.
Lakini kikubwa kingine nlichoona ni kuwa kupiga mashuti ya mbali yale yakutanua kwapa za kipa,beki ya city ikitoka kushambulia inachelewa kwa sekunde kadhaa kujipanga,hapo kuna uchochoro pia.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Akiwa mtoto Kuna ubaya?
Wakianza Militao na Rudiger itapendeza sana.Afu ukae unapoteza muda kujibizana na watu kama hao. Nishaacha kabisa.
Naona kocha kasema game inayofata atapumzisha baadhi ya key player ambayo ni laliga.
Sema j5 ana kazi maana alaba na rudiger walicheza vizuri. Militao naye anarudi sijui itakuaje