Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
Hao wachezaji uliowataja unajua buy out clause zao. Emu tulia modric jua linakaribia kuzama acha tulete box to box mid field wa kusaidiana na akina valvelde. Vamavinga alishakabidhiwa left full back mean while defensive mid field atakuwa anaitumikia piaCamavinga tayari ni natural replacement ya Kroos, Na kuhusu Modric club iendelee kutafuta replacment kwa utulivu mana club ina matatizo makubwa maeneo mengine kuliko hilo la modric kwa sasa kwahiyo wali consider hilo after next season Lakini Jude hawezi kuwa replacement, mana wale waliopo pale wote wamemzidi kuiwezo na bado hata wao hawajaonekanwa kuwa wana uwezo wa kutosheleza, kama kweli wapo serious ku replace modric kwanini wasiende kwa Bernado SIlva? Bruno fernandez? Barella? Musiala? hao ni world class players.