Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hao wachezaji uliowataja unajua buy out clause zao. Emu tulia modric jua linakaribia kuzama acha tulete box to box mid field wa kusaidiana na akina valvelde. Vamavinga alishakabidhiwa left full back mean while defensive mid field atakuwa anaitumikia pia
 

hawawezi kuwa na gharama zaidi ya huyo Jude, 130 m na mshahara karibu 400k. kwa uhakika watakuwa wapo more cheap kwa kila kitu.
 

130 m na mshara wa 400 k alafu aje kusaidiana? Kwa hela kama hiyo alitakiwa awe star man kitu ambacho hakitawezekana kabisa kutoka kwake.
 

hayo unayesema wewe lakini hayapo kabisa kwenye vichwa vya viongozi wa timu.
 

hata akina odriozola walikuja kwa mazingira kama hayo na kilichotokea umekiona. Timu kubwa haitakiwa iishi kwa kubahatisha.
 

Hazard alikuwa ni failure from day one, hata kabla ya kuanza kupata hizo ijuries performances zake hazikuwa zakuridhisha.

na kusema kuwa Don anapenda kiwango na hard worker kwa kutafuta uchochoro wa kuaminisha kuwa hazard alikuwa na kiwango ila alikosa hardworking, ni uwongo wa 100%. Don aliwapa nafasi wote yeye na Bale wakati anapewa timu na walifail completely ku deliver.
 
Unapima vipi performance ya mchezaji kabla ya kumsajili? Au mchezaji yoyote una analyse vipi?

Ni taaluma kama zilivyo taaluma nyengine, Uwezo wakufahamu nani ni bora nani atafaa nani ata replace vizuri, nani ni mzuri kwa future, nani ni mzuri kwa present.

ndio mana kwenye timu nyingi wanaajiri watu kama ma sport directors kazi yao kubwa ikiwa ni hiyo, na hata wao pia hutafautiana kwa ubora. Chelsea sasa wapo kama vichwa vya wendawazimu sababu wanakosa kabisa mtu kama huyo kwenye timu.
 

Kumbe unakubali ni ngumu unakubali ni kazi na taaluma ya watu. Sasa iweje unapinga wataaluma walioma jude anafaa, na fran
 
Kumbe unakubali ni ngumu unakubali ni kazi na taaluma ya watu. Sasa iweje unapinga wataaluma walioma jude anafaa, na fran

haimanishi kila wanachoamua ni sahihi, mara mngapi hao wataalamu wanavurunda kwenye vilabu na wanaishia kutimuliwa?
 
Hala Madrid…..
Sijaangalia game za Dortimund ili kutoa comment juu ya ujio wa Jude.

Lakini bei yake ni kubwa na mshahara wake ni mkubwa sana. Inakua ngumu kuamini kama kweli Perez ambae kwa zaidi ya misimu 5 sasa anakwepa spending kubwa kubwa ila RM inatwaa mataji aje abariki utoaji mkubwa hivyo wa pesa (ni betting)

Ninachokiona hapa kuna suala la biashara ambalo linahusika zaidi, R.M wanahitaji mchezaji wa England ili kupenetrate kwenye soko la England.

Ni maoni yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…