Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sijaangalia mpira ila kunamtu humu mbona alisema camavinga hajui mpira kulikon tena?

Hakuna mchezaji ambae atafanya mambo yote uwanjani kwa usahihi. Anaposema camavinga kasababisha goli zote. Ikiwa goli la 2 ni goli kipa ndio kapea yule mtu mpira baada ya camavinga ku slide na kupoteza mpira tuka regain position ila ni uzembe wa goli keeper.

Mtu anayesema camavinga kwa nini aanzi NT kila kocha ana mipango yake na namna anavyo tumia mchezaji kulingana na yeye anavyoona ni sahihi. Kumbuka NT ni mjumuuisho wa wachezaji waliobora so inategemea na game approach unayoitaji.

Camavinga ni bora anapocheza DM kama leo. Juu hapo kuna mtu anasema kacheza RM. Na ndio anakua kwenye ubora.

Hatuna wasiwasi na talent ya kijana. Kafanya msimu uliopita, kafanya worldcup atafanya na kuendelea kufanya Madrid.

Swali la kujiuliza camavinga ana enjoy kucheza DM ambayo pia tchouameni anacheza hapo hapo. Na inabidi iwe na position moja. Yoyote kwa yote kocha anajua nini kifanyike kwa kila game.

Tusichambue mpira livescore wana madrid

Hala Madrid
 
Mkibahatika kuwatoa livakuku then the only team that will be dangerous to you guys will be Napoli ambayo inatembeza kichapo kule Seria A. Man City is not that dangerous, Bayern Munich too. PSG is overrated.
Napoli hawezi kuwa dangerous Kwa Real Madrid ndio wanatimu nzuri msimu huu lakini hawana uo uzoefu wa kushindana kweny mechi kubwa za mtoana
 

Hapna Camavinga atasogea juu alafu ni suala muda soon baada ya maveteran kustaafu

Midfielders Duo= Tchou + Camavinga + Valverde
 
Mungu awabariki Atletico. Mtani komaa na UEFA, domestic cups tunabeba zote msimu huu.UEFA kuna vibonde wengi msimu huu. Mkikomaa na ile ngekewa yenu, mnaweza kanya jambo.

Just imagine Liverpool, Chelsea na akiba Dortmund bado wako uko. Hata Man City na PSG wa sasa hawana maajabu kabisa. Teams zenye form nzuri, zilitoka mapema. Komaeni na hao vibonde!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…