Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Sijaangalia mpira ila kunamtu humu mbona alisema camavinga hajui mpira kulikon tena?
Hakuna mchezaji ambae atafanya mambo yote uwanjani kwa usahihi. Anaposema camavinga kasababisha goli zote. Ikiwa goli la 2 ni goli kipa ndio kapea yule mtu mpira baada ya camavinga ku slide na kupoteza mpira tuka regain position ila ni uzembe wa goli keeper.
Mtu anayesema camavinga kwa nini aanzi NT kila kocha ana mipango yake na namna anavyo tumia mchezaji kulingana na yeye anavyoona ni sahihi. Kumbuka NT ni mjumuuisho wa wachezaji waliobora so inategemea na game approach unayoitaji.
Camavinga ni bora anapocheza DM kama leo. Juu hapo kuna mtu anasema kacheza RM. Na ndio anakua kwenye ubora.
Hatuna wasiwasi na talent ya kijana. Kafanya msimu uliopita, kafanya worldcup atafanya na kuendelea kufanya Madrid.
Swali la kujiuliza camavinga ana enjoy kucheza DM ambayo pia tchouameni anacheza hapo hapo. Na inabidi iwe na position moja. Yoyote kwa yote kocha anajua nini kifanyike kwa kila game.
Tusichambue mpira livescore wana madrid
Hala Madrid