Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Licha ya kuwa nyuma kwa goli mbili bila bado vijana waliamini wanaweza kupata matokeo., sikuona ile sign za kupanick kwa wachezaji wetu., kila mmoja aliamua kufanya kazi yake ipasavyo uwanjani., Vinicius Leo alikuwa anashuka kabisa chini kukaba., hapo ndipo nilipoona userious wa vijana., na haya matokeo sio kwa bahati mbaya ila kwa uwezo na kujiamini.
 
Hello Madridistas

Kila mtu kaona game japo tulianza vibaya ila tulikua na wakati mzuri wa kusahihisha matokeo. Siku zote naamini timu yangu kipindi cha pili na leo kimetoa matokeo sahihi.

Kwangu waliokua bora uwanjani ni vin, camavinga wamecheza kwenye ubora sana. First half cama alicheza chini aliku hafanyi kurun kusogea mbele ata kidogo. Kipindi cha pili kilibadirika kwake.

Vyovyote tumeanza vizuri. Tusubiri game ya pili ya marudiano. Next game nadhani ni athletico ndio anafata.

Hala Madrid.
 

Sijaangalia mpira ila kunamtu humu mbona alisema camavinga hajui mpira kulikon tena?
 
We jamaa, NI WEWE AU UMELEWA?

Ni mimi mkuu, I'll break it down:

Umeona magoli tuliyofungwa Leo, nani kapoteza mpira magoli yote?

Kwanini camavinga sio starter France NT au RM kikosi kikiwa fit?

Match ambazo France alipoteza kwenye WC camavinga alianza na kutolewa, kwanini?

Dogo ana potential ila ana makosa mengi sana muangalie vizuri. Judgement yake ni mbaya, anamakosa mengi sana ambayo ni costly.

Tchou akirudi camavinga anarudi bench.

Leo tumeshinda ila hii RM haipo kwenye ubora wake kabisa na livakuku is even worse nadhani wote tunakubaliana na Hilo na Sasa ndo muda ambao camavinga anacheza sana, you can see the link there.

Cc ukikaidi utapigwa2
 
Anyway cha msingi ushindi mengine ni sehemu ya game
 
Tchou akirud camavinga anaweza kurudi benchi lakin nikuulize nani aliyebadili game mechi ya fainali ya WC baada ya half time. Nenda kaangalie Ile mechi ndo utajua camavinga ni nani licha ya Kwamba walipoteza pambano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…