Alicheza kwa kiwango chake, sio mbaya sana, anahitaji muda mwingi wa kucheza ili awe fit zaidi na kuelewana na wenzie., suala la msingi ni kujiepusha na majeraha tu., atatusaidia msimu huu.
La Liga msimu huu itakuwa ya ushindani sana, wenzetu na wenyewe wapo moto vibaya mno, safari hii hakuna kutegea mtu kupoteza point, kinachotakiwa ni kushinda tu game zako hakuna namna.
La Liga msimu huu itakuwa ya ushindani sana, wenzetu na wenyewe wapo moto vibaya mno, safari hii hakuna kutegea mtu kupoteza point, kinachotakiwa ni kushinda tu game zako hakuna namna.
Hawa ba Mallorca wanakaa, na wapo nyuma wengi kweli kweli, alichofanya Valverde ndio tunatakiwa kwenda nao hivyo, tukisema tusubiri mpaka tuingie ndani itatuwia ngumu kupata magoli