Marco Asensio akitaka kucheza World Cup anatakiwa akafanye sprint za hatari na apige bao kata 5 hivi za haraka haraka kwenye timu yoyote Italy au England. Aking'ang'ania kucheza Real Madrid bench linamuhusu na timu ya taifa ataiona kwenye TV tu. Club iliwafungulia mlango baadhi ya wachezaji akiwemo Asensio, na kuna timu nyingi zilionyesha interest akakataa kuondoka. So he already knows what's going to happen to him. Timu imeshindwa kusajili striker kwasababu kuna watu hawataki kuondoka.