ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,682
Wewe latest tuonyeshe kombe lakoMimi siwezi poteza muda kubishana na timu kama Madrid ilishajifia wanajificha kwenye kivuli cha historiahizo historia haziwezi kuwasaidia kufunga Goli .....!
Mshapitwa na wakati nyie ...
Ramos alijaribugu kupiga hiyo panenka akaishia kumpa kipa mpira.
Wewe ndiyo umetunga embu Leta sourceUnajitungia tu, hiyo rekodi ni kwa mujibu wa chanzo gani? Umepiga ramli au
Wamekutana UEFA Champions Leaugue mara 7, Man City kashinda mara 3, Real kashinda mara 2, Draw 2
Uefa Champions LeagueWewe ndiyo umetunga embu Leta source
H2H - Uefa Champions LeagueWewe ndiyo umetunga embu Leta source
Wewe una hoja gani za kimpira zaidi ya kusema mna CL 13 na hio Farmer league yenu ....
Ukija kwenye hoja za mpira kuchambua man city Vs real Madrid huna hoja kabisa kwani umezidiwa kila kitu
Zaidi utaishia kusema vitu hewa sijui historia ,Sasa historia inacheza ?
Sasa nani kashinda mechi nyingi?H2H - Uefa Champions LeagueView attachment 2203893
????????????????Madrid na man city wamekutana Mara 4 city kashinda 3 Madrid kashinda 1
Mnabishana na watu wasioelewa chochote kuhusu mpira.. Comments zao tu unajua wakiminywa pua bado zinatoa maziwa..
Muache aringe tuNasikia Bale kazingua kinoma, kakataa kujumuishwa kwenye kikosi kitakachokuwa uwanjani Bernabeu. They said, the Welshman doesn't want to parcitepate in anything with Real Madrid right now. Kwahiyo anafikiri kama Real Madrid akichukua ubingwa leo atalazimika kushangilia kitu ambacho hawezi kufanya.
Angekua na quality ya kueleweka sasa..Nasikia Bale kazingua kinoma, kakataa kujumuishwa kwenye kikosi kitakachokuwa uwanjani Bernabeu leo jioni. They said, the Welshman doesn't want to participate in anything with Real Madrid right now. Kwahiyo anafikiri kama Real Madrid akichukua ubingwa leo atalazimika kushangilia kitu ambacho hawezi kufanya.
Angekua na quality ya kueleweka sasa..
Muda wake uishe akapambane kwingine.
Leo chama linaingia uwanjani, Natumai leo tutatoka na zaidi ya point moja ili tuwe mabingwa wapya wa laliga.
Habari zaidi nasikia leo leo tunaweza pewa kombe letu kama tukiipata iyo point moja.