Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kabla ya kushinda hiyo mechi mara yenu ya mwisho kushinda dhidi yetu ilikuwa mwaka gani?
Sikumbuki, nakumbuka tu juzi hapa nimekupiga nne hapo Bernabeu kwa mpira mwingi mno!

Kesho mjikaze basi kwa hao mafala wa England. Maana wakipatiaga team moja ya Spain, wanapiga kelele kama vile wametupiga wote!
 
Sikumbuki, nakumbuka tu juzi hapa nimekupiga nne hapo Bernabeu kwa mpira mwingi mno!

Kesho mjikaze basi kwa hao mafala wa England. Maana wakipatiaga team moja ya Spain, wanapiga kelele kama vile wametupiga wote!

Kutokukumbuka ni ishara kwamba mlikabiliwa na ukame wa ushindi dhidi yetu, ilikuwa mwaka 2019 - tafakari, mechi ya mwisho - mlikuwa kwenye kiwango cha kawaida, mlionekana kukamia tu, REAL kumkosa BENZEMA lilikuwa ni pigo, na CARLO kuchezesha timu bila namba 09 "no striker" ilikuwa ni mbinu butu 'si rahisi kupata magoli'

Umeona e, kwa hili tupo pamoja, mimi pia huwa naunga mkono timu za ligi ya SPAIN, mashabiki na vyombo vya habari EPL wanajua kukuza mambo sana
 
Leo inatakiwa Eden Hazard aanze kipindi cha kwanza. Halafu second half atoke aingie yule nani yuleee... Nimemsahau jina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…