Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tunasubiri sasa matajiri wa paris tuone kama tutachomoka nao
Endapo vijana watacheza kama jana, basi tutatoka na kitu, ila shida ni kwamba tutakosa huduma ya Casemiro na Mendy, wakati huo huo tukisubiri kuona Kroos atakuwa na hali gani.,
Sema hata pale kati akisimama Valverde, Camavinga na Modrić bado itakuwa poa tu, kwanza hata aina ya mpira tunaohitaji kucheza wa ku press high itakuwa poa kwasababu vijana huo uwezo wanao.
Mpka sasa sijajua upande wa kushoto Ancelotti atau-cover vipi, ila acha tusubiri tuone itakavyokuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…