Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tunataka kuona magoli mawili zaidi to secure the game and be intertained. Huyu Vinincius angekuwa na finishing touch angekuwa mtamu sana. Sema huyu hawezi kubadilika tena huyu.
Kuna chance alikosa hadi Ramos akajiangusha chini kwa masikitiko huku akipiga chini.

Ramos ni mswahili alafu muhuni yaan.

#Madrid for UCL and Atletico for Laliga #
 
Kwenye hizi club nane zamani hatua hii timu ziliogopwa zisipangwe na madrid kwenye hatua zinazofata misimu mitano iliopita.
Ila sasa kila mtu anaitamani madrid yetu aisee zama zinabadilika.
Kila club inaogopa isipangwe na MAN CITY au BUYERN MUNCHEN.
 
April 6 madrid anakipiga na liva.
April 10 anakipiga na barca mechi ya ligi kuu.
April 14 anarudiana na Liva mechi ya UCL.
Nafikiri kwamba ni muda wa los blancos kuamua moja kama ni la liga tukomae afu UCL tuache itupite. Kama ni UCL tukomae afu la liga itupite. Atletico di madrid wao huwa wanacheza karata vizuri waliona hapa UCL hatuna chetu wakakomaa na ligi kuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…