Huyo jamaa ni scam, anauza jina la tu lakini hawezi kuwa kwenye kumbukumbu ya vitabu vya Real Madrid. Perez asipoweka pesa kwenye hii timu, kuna hatari ya kubebeshwa virago kama yule wa Barcelona. Hatuwezi kufungwafungwa kila siku halafu president anakenua tu kama boya