Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hazard gari la mkaa


Huyo jamaa ni scam, anauza jina la tu lakini hawezi kuwa kwenye kumbukumbu ya vitabu vya Real Madrid. Perez asipoweka pesa kwenye hii timu, kuna hatari ya kubebeshwa virago kama yule wa Barcelona. Hatuwezi kufungwafungwa kila siku halafu president anakenua tu kama boya
 
Hazard aliyataka mwenyewe. Aliondoka blues kwa nyodo sana.
 
Zizou kaishiwa mbinu kabisa.. Timu inapiga pasi kibao zisizo na maana. Terrible playing style. Kutengeneza nafasi ni kama tunabahatisha tu.

Exactly mkuu yaani timu unashindwa elewa wakati fulani inacheza nini
 
Real Madrid imejaa talent kibao ambazo hazisaidii timu. Wanakula mishahara tu. Wachezaji ambao hawafungi magoli hawana faida yoyote. Perez asipoleta goal poachers pale na yeye inabidi aende tu kama Bartomew. Tushachoka mambo ya kisenge.
 
Zizou tangu amerudi sijaona project yoyote mpya aliyofanya. Amekuja kupokea pesa na kumsikiliza Perez tu
 
Tumepigwa nje ndani na timu ya Kituruki. Aibu yetu. Na ile timu ya kijerumani ya kuvaa jezi nyeusi ni balaa, watatundandika sita. The difference from Arsenal and Real Madrid now is, one is from England and other is from Spain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…