Wakuuuuu. Tunapigwaaaa hukoooo. Tibauth coutous kuwa kama kipa wetu sioni tofauti na kucheza bila kipa. Nani alitudsnganya tukalinunua zezeta lile. Halijawahi kuniemmpress tangu limetonga atletico madrid. Kwani lilikuwa na defence nzuri na hatukuona madhaifu yakee
Upo sahihi mkuu. Ila kumbuka wachezaji wa enzi zile tunachukua eufa CL mara tatu yale makali ya wachezaji sio haya ya sasa. Lawama zooote namtupia papa perez. Amejisahau kusajili aiseee
Ni vijana tu hawajaweza kuweka mpira sehemu husika, Vasquez anatakiwa kutoka mapema tu ili ampishe Jovic ama Vinicius Jr, anapwaya sana. Hazard anatakiwa kufanya maamuzi ya haraka,
Ivi kufukuza kocha na kufukuza mchezaji ipi gharama..... yaani sijawahi kuwa na imani na thibaut courtous. Mara mia tucheze bila kipa ila sio zezeta lile