Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Hopefully perez ataacha upuuziJeuri ya Perez imeisha,zizou atapewa pesa ya kununua wachezaji na Tim msimu ujao itafanya vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bana kipindi cha hivi karibuni alijiona mkubwa kuliko timu anajifanyia atakayo. Nadhani zidane ni kiboko yake atatuliza nidhamu vizuri. Jamaa anatafuta kadi ovyo na hapewi onyo
Tafuta iyo thread katiririka mengi kuhusu hiyo ishu.. Nimeshindwa kuscreenshot yote
Sent using Unknown device
Kuna mtu ameweka hapo juu. Ila sababu ya kufunguka ni baada ya Perez kumjia juu na kutishia kumuuza. Kuikosa championi imemuuma Perez balaa(maana ilikua ni fimbo ya kuwachapia zidane na CR7 kwa style ya ninaweza bila nyie)
Nachoona kuna team zitauziwa magalasa ili kufund hiyo project.Zidane karudi kwa masharti ya kusimamia usajili mwenyewe. Atauza wachezaji ambao anaona hawamfai kwenye project yake na kusajili vijana watakaokaa nae kwenye kikosi kwa muda mrefu. Kwa akili ya Perez angemleta Neymar ili auze blingbling, lakini sioni Zidane akimnunua mchezaji wa miaka 28 kwa milioni €300M.
Nachoona kuna team zitauziwa magalasa ili kufund hiyo project.
Sent using simu mbovu
. I am convinced that you will be great because you deserve it. Thank you for believing in me, mister.