Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

DrbqDHVU4AAxjRi.jpg
 
-tunakuulizia wewe pia ulietwambia lopetegue apewe muda, uko wapi?

Mda hakupewa nahilo lilifahamika kwamba hatopewa. Ila msimamo wangu ulikua wazi kabisa tatizo la timu ni kocha bado mfumo wake umeshindwa kuadoptiwa na wachezaji, Huku nyie mkishikilia kwamba kuhama kwa CR7 ndio tatizo. Haya kuleni maneno yenu saivi.
 
Yule beki 3 regullion sijui dogo anajituma sana ...jana ni moja ya watu waliocheza vizuri kwa nafasi yake ya beki
Dogo yupo poa sana, kuanzia mwanzo kabisa, sema Julen hakumwamini badala yake akawa anampoa Nacho nafasi badala ya dogo, ila Dogo sasa anapata nafasi na anaitendea haki kwa kweli, ana cover vizuri upande wake plus anasaidia pia kwenye mashambulizi.
 
Solari anjaribu kurejesha mfumo wa zamani na ndio mana matokea yaharaka yamepatikanwa japo kuwa bado timu ina weakness nyingi sana. Jamaa wangelikua makini kidogo tu wangetia hata magoli mawili mapema tu Real akaishia na kipigo kingine.
Ramos ni majanga aisee japokuwa wadau wake Hamutaki yasikia maneno kama hayo munakuwa wakali sana.
 
Bila kumtaja bwana ako unawashwa sana daah

Madrid UEFA ndo home lazima wawike.
Mda hakupewa nahilo lilifahamika kwamba hatopewa. Ila msimamo wangu ulikua wazi kabisa tatizo la timu ni kocha bado mfumo wake umeshindwa kuadoptiwa na wachezaji, Huku nyie mkishikilia kwamba kuhama kwa CR7 ndio tatizo. Haya kuleni maneno yenu saivi.
 
Magoli ya kutegea 6yard ndio yaliyoofikisha madrid hapo ilipo.
1541680931226.jpg

Goli alilolifunga Benzema jana ndio haja yetu, Pure skills nasio kuvurumisha mashuti tu na kutegea chini ya 6yard box.
 
Back
Top Bottom