Julen Lopetegui hana kosa pale Santiago Bernabeu.. Real Madrid inamiliki na kucheza mpira...
Kosa la Real Madrid ni kuuza Lamborghin na kununua Vitz old model.. Mtu anayekupa magoli 50+ kwa msimu anaondoka unamleta Mariano ambae hajawahi kufikia hata nusu ya magoli ya Ronaldo.. Pengo la Ronaldo linaonekana, mabeki wa timu pinzani wanarelax maana hamna mtu wa kutishia kwenye safu ya ushambuliaji..