Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

refa angeachia tu lile goli maana mabeki wa madrid leo naona hawako serious na kazi
 
HT:Eneo la kati lipo vzr ila beki za kati zimepoteana...eneo la mbele hatupo makini au niseme tunakosa bahati yakuona nyavu zao...Ansensio anapooza mashambulizi kwa kiwango flan...hawa ni counter inatakiwa ili tutoke nyuma nakuibuka na ushindi...
Madrid kaunta saizi hawawezi, hakuna winga anayekimbiza wanamtegemea Marcelo matokeo yake Ramos anabaki na kazi ngumu anapitwa kama kasimama vile
 
HALF-TIME:Real Madrid 0-2 Levante.


Morales 7', Roger (p) 13'



Dp8wD6DXQAEF6Sk.jpg
 
Very intense game., ila tumekuwa na bahati mbaya tu kwa kweli. , siwezi kusema kuwa vijana wamekosa shabaha kwa jitihada zile, tunahitaji utulivu tu., tukipata goli moja tutaondoka na point tatu, uwezekano ni mkubwa sana. , #HalaMadrid
 
Hivu kwani Bale ni majeruhi? maana naiona nafasi yake ya kuokoa tumu leo
 
Lile goli la madrid sio goli ..asensio alikuwa amezidi muda kichwa kinapigwa mimi ni shabiki wa Madrid ila lile sio goli 100%


Sawa, decision by VAR na kila mtu anakubaliana nayo. Lakini VAR hiyo hiyo tunapingana nayo ikiwa upande mwingine.
 
Sawa, decision by VAR na kila mtu anakubaliana nayo. Lakini VAR hiyo hiyo tunapingana nayo ikiwa upande mwingine.
mkuu hakuna anae pinga ila kiukweli goli la Lev la 3 tatizo llikua wapi???
 
Kweli lile sio goli, lakini kwa upande mwingine ni goli, kwasababu ni Real Madrid.
Mimi n shabiki wa madrid ila kiukwel leo utulivu sehem y umaliziaji haupo mtu anabaki na goli kipa anakosa goli ok ngoja tuone hiki kipind pengine mambo yatafanyika
 
mkuu hakuna anae pinga ila kiukweli goli la Lev la 3 tatizo llikua wapi???


Two Levante players were offside mkuu. Na lile goli cancelled by VAR too. I don't understand why you keep nagging!
 
Odriozola is replaced by Gareth Bale for the second half.
 
Mimi n shabiki wa madrid ila kiukwel leo utulivu sehem y umaliziaji haupo mtu anabaki na goli kipa anakosa goli ok ngoja tuone hiki kipind pengine mambo yatafanyika


19 shots and 4 times cross bar mkuu. Hazikuwa dakika 45 zetu tu
 
Back
Top Bottom