radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Apr 11, 2018 #36,261 Mchawi Mkuu said: Nashukuru kwa kukubali Madrid tupo juu Lakin laziam tuweke heshima Click to expand... Madrid ni giant ktk kombe hili muache apumzike waliobakia wote sio level zake
Mchawi Mkuu said: Nashukuru kwa kukubali Madrid tupo juu Lakin laziam tuweke heshima Click to expand... Madrid ni giant ktk kombe hili muache apumzike waliobakia wote sio level zake
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,564 Reaction score 119,620 Apr 11, 2018 #36,262 Bado chance ipo, Madrid fans msikate tamaa. Goli moja tu, sema hawa waitaliano wana ngome ya "babeli".
Bado chance ipo, Madrid fans msikate tamaa. Goli moja tu, sema hawa waitaliano wana ngome ya "babeli".
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Apr 11, 2018 #36,263 Mchawi Mkuu said: Punguza matusi bhas Halafu sipendag dharau sawa wewe lijimama??? Click to expand... Ndio mimi jimama.... Una lingine???????
Mchawi Mkuu said: Punguza matusi bhas Halafu sipendag dharau sawa wewe lijimama??? Click to expand... Ndio mimi jimama.... Una lingine???????
CCNP Engineer JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 463 Reaction score 1,299 Apr 11, 2018 #36,264 Linamo said: Huwezi ushabiki lala au kashabikie rede Click to expand... Huoni aibu mwanamke peke yako macho kodo kutype type kubishana na masela. Wanawake wenzio unawaona mida hii humu???
Linamo said: Huwezi ushabiki lala au kashabikie rede Click to expand... Huoni aibu mwanamke peke yako macho kodo kutype type kubishana na masela. Wanawake wenzio unawaona mida hii humu???
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Apr 11, 2018 #36,265 Linamo said: Wacha nipate ban kwa mara ya kwanza maana wanataka kunizoea Click to expand... Hehehehehe watu watakumiss
Linamo said: Wacha nipate ban kwa mara ya kwanza maana wanataka kunizoea Click to expand... Hehehehehe watu watakumiss
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Apr 11, 2018 #36,266 REAL wanatafuta GOLI
Edson JF-Expert Member Joined Mar 7, 2009 Posts 9,986 Reaction score 5,708 Apr 11, 2018 #36,267 Linamo said: Wewe falaa unikomeeee Click to expand... Naomba msitukanane...angalien mpira kistaarab huli mkikoment kwa staha..mpira ni burudan
Linamo said: Wewe falaa unikomeeee Click to expand... Naomba msitukanane...angalien mpira kistaarab huli mkikoment kwa staha..mpira ni burudan
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Apr 11, 2018 #36,268 CCNP Engineer said: Huoni aibu mwanamke peke yako macho kodo kutype type kubishana na masela. Wanawake wenzio unawaona mida hii humu??? Click to expand... Nasemaje usinipangie
CCNP Engineer said: Huoni aibu mwanamke peke yako macho kodo kutype type kubishana na masela. Wanawake wenzio unawaona mida hii humu??? Click to expand... Nasemaje usinipangie
Inferior Complex JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 3,655 Reaction score 5,033 Apr 11, 2018 #36,269 Linamo said: Ndio mimi jimama.... Una lingine??????? Click to expand... Nenda kahudumie ndoa kama huna mume huku hupati
Linamo said: Ndio mimi jimama.... Una lingine??????? Click to expand... Nenda kahudumie ndoa kama huna mume huku hupati
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Apr 11, 2018 #36,270 Edson said: Naomba msitukanane...angalien mpira kistaarab huli mkikoment kwa staha..mpira ni burudan Click to expand... Fuatilia matusi yalipoanzia kwanza ndo uanze kushauri
Edson said: Naomba msitukanane...angalien mpira kistaarab huli mkikoment kwa staha..mpira ni burudan Click to expand... Fuatilia matusi yalipoanzia kwanza ndo uanze kushauri
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Apr 11, 2018 #36,271 Nokia83 said: Hehehehehe watu watakumiss Click to expand... Naitaka na ije
Inferior Complex JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 3,655 Reaction score 5,033 Apr 11, 2018 #36,272 Edson Achana Na hao fans wa barca Kuna wengine wamefata
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Apr 11, 2018 #36,273 MARCELO kapewa njano
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Apr 11, 2018 #36,274 Mchawi Mkuu said: Punguza matusi bhas Halafu sipendag dharau sawa wewe lijimama??? Click to expand... Nimecheka ka lig ndogo kenu
Mchawi Mkuu said: Punguza matusi bhas Halafu sipendag dharau sawa wewe lijimama??? Click to expand... Nimecheka ka lig ndogo kenu
- kANA - JF-Expert Member Joined Apr 17, 2017 Posts 4,088 Reaction score 10,553 Apr 11, 2018 #36,275 CCNP Engineer said: Humu hakuna wanawake. Wenzio wako bize vitandani wanabembeleza wame zao. Mwanamke gani usiku kujazana kupiga soga kwenye kundi la wanaume. Click to expand... Taratibu wakuu, aliewafunga ni Mandzukic. Msimalizie hasira zenu kwa huyu dada.
CCNP Engineer said: Humu hakuna wanawake. Wenzio wako bize vitandani wanabembeleza wame zao. Mwanamke gani usiku kujazana kupiga soga kwenye kundi la wanaume. Click to expand... Taratibu wakuu, aliewafunga ni Mandzukic. Msimalizie hasira zenu kwa huyu dada.
N nobodylikedme JF-Expert Member Joined Apr 5, 2018 Posts 741 Reaction score 769 Apr 11, 2018 #36,276 Narudia tena kuweni makini... Hii aibu yenu nyie itakuwa ni kubwa kuliko hata ya Jana. Sababu kwanza mtakuwa mmepigiwa nyumbani. Yaani hii itawaletea haueni kubwa sana mahasimu wenu hasa mashabiki
Narudia tena kuweni makini... Hii aibu yenu nyie itakuwa ni kubwa kuliko hata ya Jana. Sababu kwanza mtakuwa mmepigiwa nyumbani. Yaani hii itawaletea haueni kubwa sana mahasimu wenu hasa mashabiki
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Apr 11, 2018 #36,277 Linamo said: Naitaka na ije Click to expand... Ur nt serious...huyo anaekuchokoza unamjua vzr
CCNP Engineer JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 463 Reaction score 1,299 Apr 11, 2018 #36,278 Mchawi Mkuu said: Hako ka linamo cjuh kanatafuta nn Wanaume wa dar tushajiongeza semaaa tunamchet kwanza Click to expand... We kaache. Ngoja masela wakapige pump kwenye uchochoro. Janamke gani usiku wenzie wote wametulia vyumbani na wame zao. Yeye pwakupwaku huku. Sijui hanaga mchizi hata wa kuzugia masikini. Dah!!!!!
Mchawi Mkuu said: Hako ka linamo cjuh kanatafuta nn Wanaume wa dar tushajiongeza semaaa tunamchet kwanza Click to expand... We kaache. Ngoja masela wakapige pump kwenye uchochoro. Janamke gani usiku wenzie wote wametulia vyumbani na wame zao. Yeye pwakupwaku huku. Sijui hanaga mchizi hata wa kuzugia masikini. Dah!!!!!
Inferior Complex JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 3,655 Reaction score 5,033 Apr 11, 2018 #36,279 radika said: Nimecheka ka lig ndogo kenu Click to expand... Ujue hako age imepanda halafu hana mume ndo kaz yake kushinda jukwaan kupata lakini Sasa kachuja
radika said: Nimecheka ka lig ndogo kenu Click to expand... Ujue hako age imepanda halafu hana mume ndo kaz yake kushinda jukwaan kupata lakini Sasa kachuja
911sep11 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2018 Posts 2,469 Reaction score 4,306 Apr 11, 2018 #36,280 msiqe na shaka japo si shabikicwa madrid naiona ikifuzu hatua hii. kutakua na red card na mchezo utaishia hapo
msiqe na shaka japo si shabikicwa madrid naiona ikifuzu hatua hii. kutakua na red card na mchezo utaishia hapo