Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread



Real Madrid hawawezi kumsajili Lewandoski tena, ni too late. Alitakiwa aje pale 5 years ago. Hatuna historia ya kusaini vikongwe, huyo Jose Mourinho atamfaa. Sisi tunatengeneza team ya kina Vincius Jr sasa hivi sio hao wahenga
 
Real Madrid hawawezi kumsajili Lewandoski tena, ni too late. Alitakiwa aje pale 5 years ago. Hatuna historia ya kusaini vikongwe, huyo Jose Mourinho atamfaa. Sisi tunatengeneza team ya kina Vincius Jr sasa hivi sio hao wahenga
Kama tuna tengeneza team kupitia kwa kina Casimiri, Ispecta Kov nk.basi wampe mda Zinedine zidane .
Maana huyu jamaa sijaona akifanya usajiri mkubwa wa wachezaji
 
Kama tuna tengeneza team kupitia kwa kina Casimiri, Ispecta Kov nk.basi wampe mda Zinedine zidane .
Maana huyu jamaa sijaona akifanya usajiri mkubwa wa wachezaji


Zidane pale kuondoka atake mwenyewe tu. Kuna rumours kwamba anataka kunawa mikono this coming summer, lakini nani anajua, usubiri tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…