Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Akimuendekeza Benzema atamsababishia kibarua kiote mbawa.
 
Q
kalikuwa kanapoteza sana mipira kule winger ya kulia, kalikuwa hakaoni goli pia kalikuwa hakana stamina. sikuhizi naona kameingia na gym. labda umeamua tu kukatetea ila wanaocheki mechi za RM watakubaliana nami.


Nasikia Barcelona kuna sherehe Neymar katolewa kwenye Champions league
 
Casemiro in this game against PSG:
1 goal
1 shot
56 passes completed (57)
4 tackles won (5)
11 recoveries
A BRILLIANT GAME FROM HIM

[@optajose]
 
Tetesi

Klabu za Chelsea na Real Madrid zinaongoza mbio za kumuwania mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski raia wa Poland mwenye miaka ya 29 ambaye yuko mguu ndani mguu nje.

Barca watachuana na mahasimu wao, Real Madrid kumsajili beki wa pembeni mwenye asili ya Austria anayekipiga na Bayern Munich, David Alaba (25).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…