Haa haa haa fact mkuu, dogo hana no. Madrid kwa sasa, angekubali kipindi kile kuja jana angekua anakiwasha tu kwenye uzi mweupee.
Ila Benzema sio ridhiki kabsa, naona jana hadi Zidane mwenyewe kamind jinsi alivyokosa lile goli yeye na kipa akaamua muda huo huo amupe sub.