Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #35,001
Zizu out.
Kabisa Mkuu games kadhaa tumekufa sababu ya game plan mbovu ya Zizu. Namuona Zizu akivunjiwa kandarasi tukidhalilishwa na PSGZizou bora aende tu sasa. Hii game kama katufanyia makusudi tu, tumeona first leg ilivyokuwa complicated, nikafikiria leo angeanza na kikosi kamili. Huyu Zidane ni pumbavu sana huyu, yaani. Sasa hata akibaki tutegemee nini. Bora aende tu huyu
Ningependelea Zidane abaki, ila ninaona akiondoka kwa kweli, Wema wake na uaminifu kwa wachezaji wake ndio unamponza, aliamini na bado anawaamini sana vijana wake, ila tatizo ndio wanamwangusha., James aliondoka sababu aliona Isco anafaa, hakusajii striker kutokana na kuona Benzema akisaidiwa na Borja mambo yataenda, pia alimtegemea Asensio ndio ataimarika zaidi msimu huu, ila cha ajabu hawa vijana wamedrop completely, wamekuwa kama wageni kabisa, ninaweza hata kuwatetea akina Theo kwamba hawaja adapt, ila sio hao wengine .Zizou bora aende tu sasa. Hii game kama katufanyia makusudi tu, tumeona first leg ilivyokuwa complicated, nikafikiria leo angeanza na kikosi kamili. Huyu Zidane ni pumbavu sana huyu, yaani. Sasa hata akibaki tutegemee nini. Bora aende tu huyu
Game na PSG itakuwa ni chungu sana kwetu tusipoangalia, tunaweza kudhalilishwa haswaa, tuendelee kuamini tu kuwa hii team itaendelea kuimarika, kidogo Dani, Marcelo, Modric, Varane na Bale kidogo wanajitahid, sasa hao wengine ngoja tuone kwenye game na Valencia watakuwaje,Kabisa Mkuu games kadhaa tumekufa sababu ya game plan mbovu ya Zizu. Namuona Zizu akivunjiwa kandarasi tukidhalilishwa na PSG
Subiri kuchomekewa kitu chenye ncha Kali katikati ya makalio ya madrid na kudume PSGSio mbaya sana maana Madrid kachagua njia ya Champions League
![]()
Ningependelea Zidane abaki, ila ninaona akiondoka kwa kweli, Wema wake na uaminifu kwa wachezaji wake ndio unamponza, aliamini na bado anawaamini sana vijana wake, ila tatizo ndio wanamwangusha., James aliondoka sababu aliona Isco anafaa, hakusajii striker kutokana na kuona Benzema akisaidiwa na Borja mambo yataenda, pia alimtegemea Asensio ndio ataimarika zaidi msimu huu, ila cha ajabu hawa vijana wamedrop completely, wamekuwa kama wageni kabisa, ninaweza hata kuwatetea akina Theo kwamba hawaja adapt, ila sio hao wengine .
Last season team B ilikuwa ipo vizur sana, lakini msimu huu ni kama tu hatuna backup ya maana., tumetolewa kizembe sana kwa kweli.
Ningefurahi kama club itaendelea kumvumilia Zizou mpaka huu msimu uishe tuanze tena upya, tatizo halipo sana kwa Coach, ila vijana wetu wamechoka sio kawaida.

Mkuu sipendi kupeleka lawama moja kwa moja kwa Zidane, japokuwa kama Coach atabeba mzigo wake pamoja na Management kwa kukosa macho ya wapi tunapoelekea, ilikuwa ngum sana kupredict direct downfall ya wachezaji wetu, na hiki ndio kinawacho watatiza hata Mgt yetu kumtimua Zidane.Mkuu hata akibaki usitegemee changes zozote na usishangae timu hii hii ndio tukaenda nayo next season pia. Kama unakumbuka kabla ujio wa Mourinho hii timu ilikuwa na full over 30s expensive players, mpaka tukapigwa 3 - 0 na Alcorcon kwenye Copa del Rey kama hivi. While our rivals are busy signing good players, Zizou is still experimenting the line-up for 2 years in row. Now I know why this bald head failed with Real Madrid Castilla.