Tulijigamba mwanzo wa msimu tuna kikosi kilicho kamilika kuanzia walio dimbani hadi benchi. Hichi ni kipimo mahususi, sijaona mapungufu yeyote katika kikosi. Benchi linaweza jaza nafasi za waliopungua.
Bale atabeba mikoba ya CR7 (natabiri bale kufunga shuti la mbali). Asensio curler, Isco x2 na header au rebound moja. Mechi itakua ya magoli mengi kama ZZ akianza na mfumo wa kupata matokeo upesi.
Mwisho, hakuna haja ya kunadili mfumo, 4-3-1-2 ndio identity yetu kwa sasa.
Kweli kabisa na Marcelo alisemaga Madrid wakiwa nyumbani wanahisi wapo ugenini kutokana na presha ya mashabiki lakini tukiwa away tunakuwa comfortable,nategemea leo upinzani kutoka kwa sociedad lakini ushindi pale pale kwa Madrid,away games tuko vizuri sana# Hala Madrid
Kweli kabisa na Marcelo alisemaga Madrid wakiwa nyumbani wanahisi wapo ugenini kutokana na presha ya mashabiki lakini tukiwa away tunakuwa comfortable,nategemea leo upinzani kutoka kwa sociedad lakini ushindi pale pale kwa Madrid,away games tuko vizuri sana# Hala Madrid
Muhimu ni vijana wetu kuwaheshimu wapinzani wetu , na kucheza kwa malengo. Hizo ndio zilikuwa nguzo zetu msimu uliopita, natumaini na leo watafanya hivyo pia
[HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]!!