Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mediaset: Madrid will offer Milan 30m Euros in the coming days, If they don't sell. He will join Real for free next year.
 
Hivi huyu mchezaji ni mzuri kuliko navas na de gea? Nimeuliza maana simjui kabisa


Real Madrid wameamua kuachana na De Gea kwasababu tofauti, Donnarumma ni kipa mzuri na ndio kwanza ana miaka 18, lakini tunasoma rumours za kwenye media tu hatujui ukweli uko wapi. Uhusiano wa Mino Raiola (Donnarumma's agent) ndio unanifanya mimi binafsi nitiea shaka kama Real wanaweza kumleta huyu dogo. Kuhusu Navas usitie shaka kwasababu ye ndio kipa namba moja pale, kinachoangaliwa sasa umri nao, ndio maana anatafutiwa mmbadala wa kusaidiana nae
 
A Bola | "Ronaldo wants to leave Spain: He told Real Madrid's president that his decision is irreversible."

DCbdaCZUwAEcayX.jpg
 
- Cristiano is very offended with the tax authorities accusations of fraud.

- Real Madrid understand Cristiano's anger but don't think it'll get to the point of him leaving the club. They expect it to pass. [Cope]
 
- Milan believe that Real Madrid are behind Donnarumma's decision not to renew.

- Cristiano feels that the prosecution want to make him an example unfairly given the fact that he tried to regulate his taxes voluntarily [Cope]
 
Cristiano communicated his frustrations to the club & president who's trying to calm him so he won't make any rush decisions. [Marca]

DCbjINBUAAAOzBg.jpg:large
 
Donnaruma only wants REAL MADRID. [@DiMarzio]

19145812_1629379627086791_3914132951428370338_n.jpg

Mkuu Huyo lazima aje REAL maana kaona wazi Ruben Yanez anaondoka,Navas alitakiwa kuuzwa ila kaachwa kwa msimu mmoja aliopewa tena kwenye mkataba wake...hivyo akitua pale kuna possibility kubwa ya kuwa kipa kikosi cna kwanza msimu ujao Wa 2018/2019.
 
- Atletico want full payment before Theo Hernandez to Real Madrid is made official.

- Real Madrid could pay an extra six million euro to compensate Atletico and keep relations between the club.

- Hernandez will receive €36 million salary for five years and Real Madrid have agreed to pay the 19-year-old's €24 million release clause.

- Atletico have decided that there will be no announcement until they receive the full amount of money in Theo's clause. [as]
 
Cristiano communicated his frustrations to the club & president who's trying to calm him so he won't make any rush decisions. [Marca]

DCbjINBUAAAOzBg.jpg:large

Mkuu ata mie sikuelewa nini kilikuwa kinaendelea ila kuna MANENO Cristiano aliongea kuwa "haishindikani kwa yeye kuondoka Madrid maana anaamini kila kitu kinawezekana kwenye Mpira"...maneno hayo aliyasema Siku chache baada ya Club kutoa Ofa to Real..zikihitaji kumsajili.

IMG_201706160_095750.jpg

Screenshot_2017-06-09-16-42-21.png
 
Cristiano wants to leave Real Madrid because he does not want to play in Spain any more. [SkyS ports]
 
Monaco promised Mbappé if he stays next season they'll consider all offers next summer. Mbappé told them he only wants Real Madrid.

Mbappé's parent are encouraged with PSG's move but Mbappé is fascinated with Real Madrid's sporting project. [MARCA]

19225857_1629947290363358_8724735718143657554_n.jpg
 
CR7 aka mkwepa kodi anastahili kufungwa maisha jela, haiwezekani akwepe kodi na nmefurahi raia wa Madrid hawajafurahia uhuni wake....he should go away from Spain
 
Back
Top Bottom