Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Vijana walipigana sana sana, ilifika kipnd hata tukifungwa tuliamini kuwa vijana watarekebisha mambo!! Na kweli,this season hawa vijana walitufundisha kuwa mpira ni dakika 90,!! Vamos Real!!
hahaha
kuna mechi na Sevilla nakumbuka nilienda hadi kulala but we ended up 3-3, that was dope.

ila nilikuwa naona kabsa this year kila factor ilikuwa uoande wetu kwa La liga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…