Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hehehe!!!
Hilo halina mjadala Mkuu,

Kesho nawahi mapema nishuhudie hiyo miujiza kama wanavyoiita wana Barc.


Hivi casemero kamaliza gemu Mkuu. ..?

Casemiro alimaliza game kwa msaada wa refa na muwezeshi mkuu akiwa ni Perezi.
 
Hapa kuhusu Marcelo sijakupata mkuu
Mkuu Marcelo ni tishio asikwambie mtu, Huyu Marcelo akishika mpira timu pinzani sio mashabiki wala wachezaji wanaanza kujamba,..... wachezaji wa Madrid watacheza ovyo wote lakini sio Marcelo sikumbuki ni lini Mara ya mwisho alipotea kwenye big game. Ila C.ronaldo siku hizi hasipofunga goli unaweza usijue kama yumo uwanjani.

Marcelo varangati lake sio la dunia hii nikionaga dribbling zake namkumbuka Bixente Lizarazu.
 
Ukiachana na makosa ya refa ambayo ni mengi ila Bayern walizidiwa kimchezo

Defense ya madrid waliwadhibiti washambuliaji wa Bayern
Hata kabla ya zile kadi nyekundu mara 2 walikuwa na shots on targert 3 tu wakati madrid 10 shots on target

1st leg 3 shots on target kwa 12 za Madrid


2nd leg 2 shots on target kwa 12 za Madrid
 
Displine ya wachezaji wa madrid ndio imewasaidia, kadi moja tu ya njano Casemiro ila bayer 5 yellow cards

Kadi moja ya njano kwa rafu zaidi ya nne tena nyingine alitaka kumvunja mguu Robben. Alafu na pia kama uliangalia vizuri ile ya Vidal hai kuwa rafu alicheza mpira sema rafa alidanganyika.
 
Kadi moja ya njano kwa rafu zaidi ya nne tena nyingine alitaka kumvunja mguu Robben. Alafu na pia kama uliangalia vizuri ile ya Vidal hai kuwa rafu alicheza mpira sema rafa alidanganyika.
Replay kwa Vidal alicheza rafu nyingi sana refa akachoka kumlinda. Kuhusu Casemiro hakucheza rafu kwa kiasi udhaniacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…